CHADEMA yatajwa mgomo chuo kikuu...


tatizo ni kwamba mkuu wa chuo anapokea maelezo ya nini cha kufanya,wangapi wafukuzwe na kwa kipindi kipi..adhabu kama ya kutodahiliwa chuo chochote nchini haiwezi kutoka mojakwamoja kwa prof.mukandara..kuna nguvu ya ziada..nakumbuka wakati vijana walipokamatwa kwa maandamano..wakati wapo kituo cha police oysterbay police mmoja aliwaambia 'nendeni mmuombe msamaha mkuu,mliyemzomea chuoni'
 
CCM=Chama Cha Matatizo. Subirini 2015 waue, wachinje. CCM by
 
Watu wangine bwana...kama mmelogwa!!Tukisema ubaya kuhusu cdm au udsm,lazima mukurupuke na kuanza kuharishia mdomo!
Kipi kibaya na cha-uzushi kuhusu hvyo vyama vikuu vya upinzani hapa nchini???
UDSM NI CDM B.

unaweza kudhibisha hilo mkuu..?
 
inamaana huyu kijana mr.mzumbe ndio watu wa aina ya product za mzumbe(samahani kwa hasty generalization) lakini kama ndivyo mzumbe kuna hali mbaya sana.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…