Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Nimeshangazwa sana habari hii iliyopewa uzito wa juu na kukolezwa wino kwenye Gazeti la CCM (uhuru) leo..
Gazeti ili linadai lime wahoji wasomi hao, nanukuu "siri ya mgomo wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (udsm) imefichuka ,ikidaiwa unachochewa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA.
Madai hayo yalitolewa jana na baadhi ya wanafunzi wanaondelea na masom chuoni hapo, waliodai kuna wabunge viongozi wa chama hicho wanachochea mgomo walidai wamekuwa wakipandikiza chuki kwa baadhi ya viongozi wa serikali ya wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO)" mwisho wa kunukuu..
Hivi ndugu zangu tunaitaji msaada wa viongozi wa chadema kushinikiza wenzetu wapewe mikopo? Je ni viongozi gani walichochea mgomo huo juzi? Je zigo hili abebeshwe Lema tena?
Au ni mbinu ya magamba kuhalalisha fukuzafukuza yao hapo udsm..kuna wakati fulani fukuzafukuza hii ilihusishwa na mkuu wa kaya kuzomewa mbele ya mseveni.
Ndugu zangu nini maana ya hii habari?
Gazeti ili linadai lime wahoji wasomi hao, nanukuu "siri ya mgomo wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (udsm) imefichuka ,ikidaiwa unachochewa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA.
Madai hayo yalitolewa jana na baadhi ya wanafunzi wanaondelea na masom chuoni hapo, waliodai kuna wabunge viongozi wa chama hicho wanachochea mgomo walidai wamekuwa wakipandikiza chuki kwa baadhi ya viongozi wa serikali ya wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO)" mwisho wa kunukuu..
Hivi ndugu zangu tunaitaji msaada wa viongozi wa chadema kushinikiza wenzetu wapewe mikopo? Je ni viongozi gani walichochea mgomo huo juzi? Je zigo hili abebeshwe Lema tena?
Au ni mbinu ya magamba kuhalalisha fukuzafukuza yao hapo udsm..kuna wakati fulani fukuzafukuza hii ilihusishwa na mkuu wa kaya kuzomewa mbele ya mseveni.
Ndugu zangu nini maana ya hii habari?