CHADEMA yataka maelezo juu ya zuio la Zanzibar la kutouza nje Sukari na Mchele

Kalime acha kulialia. Unataka ushibe kwa hasara ya mkulima?
Kunywa chochote kwa bili yangu kaka. Yaani wakati mkulima anataabika wao nashabikia siasa alafu leo wanataka serikali impangie mkulima pa kuuza kwa manufaa yao
 
Rais wa huko hana akili na akiua Kilimo na Biashara ndio atatia akili,Tanzania Kuna mfumuko wa bei? Kuweni serious basi

 
Unawezaje kuzuia kuuza nje kitu ambacho huzalishi? Ni sawa leo hii tusikie kuwa Serikali ya JMT imezuia uuzwaji wa matrekta nje ya nchi. Au alimaanisha wafanyabishara wa Zanzibar wanaoagiza mchele toka bara, wakiufikisha mchele Zanzibar, ni marufuku kuutoa nje ya Zanzibar?
 
Hoja ya Mwalimu wa CDM Zanzibar sijaielewa Hadi sasa.
 
Ni maandalizi ya mwezi wa Ramadhan... ! Ukipita ama soon baada ya Sikukuu zuio litaondolewa..
 
Ni maandalizi ya mwezi wa Ramadhan... ! Ukipita ama soon baada ya Sikukuu zuio litaondolewa..
Wewe ndo nmekuelewa,

Maana walizuia exportation, bt importation Iko pale pale.

Imelenga kupunguza inflation Kwa manufaa ya raia.

Hivi vyama vya upinzani, tuwe makini navyo sana sometimes, hutoa matamko kupata political advantage in case malengo ya Watawala yakifail bila kujali yalikuwa mema au mabaya.
 
Haaaaa haaaaa. Chadema bwaaana, mmmmmmh
 
Kwa hili Chadema wako sahihi kabisa ,
Tena wamechelewa sana kupinga sera hii ya kufungia mazao na bidhaa za wakulima na kuwanyima soko la uhakika mwisho kuwafanya maskini
Hongera Makamu mkit Cdm Zb ,
Natamani Cdm bara nayo iamke ichukue agenda hii ya kutetea wakulima

Serikali itengeneze mazingira ya kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula sio kufungia masoko ya wakulima maskini na kuua mitaji yao
 
Inatengenezwaa Tanzania? Make kuna Baadhi ya nchi za Africa wana jitosheleza kabisa kwa chakula,
 
Hawana akili Hawa wajinga, wanataka mkulima spare hasara ili wao washibe kwa Bei rahisi na wafanye maendeleo mengine kwa fedha inayobak utadhan mkulima yeye hataki hayo maendeleo mengine

Kwani wamezuia kwenda shambani?
Nyie mmelewa maada? Nchi ina vihiyo wengi sana Mungu tusaidie
 
Umeelewa andiko linataka nini? Au ni Maada ngumu? Nchi ina vihiyo wasio kuwa na idadi
 
Kunywa chochote kwa bili yangu kaka. Yaani wakati mkulima anataabika wao nashabikia siasa alafu leo wanataka serikali impangie mkulima pa kuuza kwa manufaa yao
Vihiyo mnapongezana, Andiko lina husu kufunga mipaka Je vipi na wengine wakafunga? kwamba Zanzibar wanasema Chakula kisitoke hata kuja Bara na Vipi Bara na wao wakasema kisiende Zanzibar? Shida yenu mnakuwa vihiyo sana
 
Zanzibar inanunua mchele na Sukari kutoka nje kabisa, sasa kuzuia usiingia Bara ni hatari na vipi Bara wakaja kuzuoa na wao?
 
Hoja ya Mwalimu wa CDM Zanzibar sijaielewa Hadi sasa.
mwalimu anasema kama Zanzibar wanazuia Mchele na Sukari visitoke nje ya Zanzibar hata kuja Bara vipi siku na Bara wakaja kuzuia vyakule visiende Zanzibar? Kilichopo ni kuzalisha kwa winhi au badi kufidia na sio kufunga mipaka, vipi Bara wakaja kufunga na wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…