Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamazoo😁Kwa mara nyingine nitashiriki.
Kule wanapata utatuzi,Sasa kwenye maandamano ya Chadema wanapata nini?Huko kwenye ziara za Makonda watu hawaachi kazi?
Anayesoma Hilo bango na kutatua hiyo kero nani ? Si heri mngeenda nayo mikutano ya makondaBango langu TAYARI....
Kule wanapata utatuzi,Sasa kwenye maandamano ya Chadema wanapata nini?
Mlivyoandamana Dar mumepata mlichoandamania? 😁😁
Wapumbavu ndio waliwao
Mifumo ipi inayoleta maisha Bora? Nitajie hizo Nchi zilibadili mifumo ipi na mIsha yakawaje nikupe dataCdm hawandamani kutafuta sifa, Bali wanaandamana ili kupatikana mabadiliko ya mifumo, na kukabiliana na ugumu wa maisha. Yaani wao wanapambania mabadiliko ya kweli ya muda mrefu, na sio kuhadaa watu kwa muda mfupi Ili wapate kura. Hiyo ndio tafauti.
Mifumo ipi inayoleta maisha Bora? Nitajie hizo Nchi zilibadili mifumo ipi na mIsha yakawaje nikupe data
Kama Nchi gani hapa AfrikaMifumo ya kiwajibikaji huleta maisha Bora. Sio mifumo inayategemea hisia za mtu. Kwenye mifumo dhabiti huwezi kusikia lugha za kipuuzi kuwa sileti maendeleo maana mmewachagua wapinzani. Huwezi kusikia serekali Leo inasema hivi kisha kesho inasema jambo jingine bila hatua kuchukuliwa kwa wahusika.
Mkuu, you normally sound much better unapoitetea serikali kwa facts, data na vielelezo kuhusu uchumi, miradi na juhudi mbalimbali.Kule wanapata utatuzi,Sasa kwenye maandamano ya Chadema wanapata nini?
Mlivyoandamana Dar mumepata mlichoandamania? 😁😁
Wapumbavu ndio waliwao
Hahahahahaha..wote wanalalamikaMaandamano vs Makonda
Wote wanalalamikia udhaifu wa gavamenti 😀
South AfricaKama Nchi gani hapa Afrika
Umeme ni janga Tanzania hadi OSBP ya Sirari Tanzania kuna vipindi wanakosa umeme,hii ni hatari kwa Taifa.Waongeze na, kudai haki ya kupata huduma bora ya umeme.
UjingaSouth Africa
Anayenyanyasa mwenzie ni nani kati ya CHADEMA na serikali ya Magufuri ambayo Mama ameirithi?Chadema wanachofanya ni kukosea tu apo sabu wanainyanyasa serikali dhaifu ya mama
Ujinga
Kundi la Tanzania
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1752109351567823185?t=l5vQCwezmW6Rc8etfeZCsg&s=19
Vs
KUndi la South Africa ambako Chadema mnadai Kuna mifumo Bora 🤣🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1750446463534891184?t=tTxXArnjpXwPTOVp5ctNcA&s=19
Muwe mnadanganya mbumbumbu
Huduma bora ya umeme na isiyotatizwa na wala kwa urefu wa kamba zao au vinginevyo.Waongeze na, kudai haki ya kupata huduma bora ya umeme.
Mwehu ni wewe hapo.Yaani wewe ni mjinga na Rekodi zako Kenya wawe na maisha nafuu kuliko Tanzania na Zambia hivi wewe ni mwehu au nini?
Sukari Tani 30,000 zimeletwa,au hujui???Atupe mrejesho yale yaliyofanyika dar na kupeleka malalamiko yao sijui UN wamefikia wapi ?
Hayo ni maandamano ya enzi za ujima.now days thing's changes bwanaMaandamano ya kuishinikiza serikali hayawezi kuwa maandamano ya amani hata kidogo.
Serikali haishinikizwi kwa amani popote duniani.
Hayo ni maridhiano siyo maandamano.