Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje, akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini Mwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazee tuache masihara hali ni ngumuHuyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje , akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini MwanzaView attachment 2904291View attachment 2904320
Noma sana !Mazee tuache masihara hali ni ngumu
Mazee tuache masihara hali ni ngumu
😆😆😆😆Hali ngumu kivipi wakati naona vijana wanatusua sana kipindi hiki cha mama amefungua nchi.?!
Ni Yale masoko ambayo magufuli alijenga na Leo ndo mnayatembelea?Huyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje, akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini Mwanza.
View attachment 2904291View attachment 2904320
Kapuku Jiwe hakuwa na sentano ya kujengea masokoNi Yale masoko ambayo magufuli alijenga na Leo ndo mnayatembelea?
Basi kapuku Mbowe ndio kajengaKapuku Jiwe hakuwa na sentano ya kujengea masoko
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji173]Huyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje, akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini Mwanza.
View attachment 2904291View attachment 2904320
Amen
Hali haita kuwa rahisi mpaka tutakapo towa vibaka madarakani. Yaani huwezi kuwa na mabilionea ambao hawazalishii wala kutengeneza kitu chochote halafu ukaitegemea eti uchumi wa nchi na maisha ya wananchi yatakuwa Mazuri! Yaani vibaka kama kina mwigulu, Makonda, Nape na wengine kama hao waishi kama mabilionea kwa kutumia kodi za wananchi masikini halafu maisha yawe rahisi, haiwezekani.Huyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje, akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini Mwanza.
View attachment 2904291View attachment 2904320
Kapuku Jiwe hakuwa na sentano ya kujengea masoko
Wakati wabunge wa Sisiem wanaazimia kuwanunulia viongozi ndege nyingine, ili wawakoge wapiga kura wao!Ikibidi kesho wawapelekee moto hadi ofisi ya Mkuu Wa Mkooa haiwezekani maisha yanazidi kua magumu halafu Rais anakula bata Ughaibuni tu.
Ni dalili tosha jogging haina agenda!Huyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje, akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini Mwanza.
View attachment 2904291View attachment 2904320
Hivi hawa kenge wa chadema wanaweza kutuambia ni lini maisha yalikuwa mapesi?kuna kenge wao mmoja alikimbilia canada leo hii karudi Tz.Hivi unafikiri kwa nini alirudi Tanzania?Huyu ni Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Victoria Wenje, akijionea hali halisi ya Ufukara wa Watanzania masokoni jijini Mwanza.
View attachment 2904291View attachment 2904320