Pre GE2025 CHADEMA yatoa wito kwa Rais Samia avunje Jeshi la Polisi na aliunde upya

Pre GE2025 CHADEMA yatoa wito kwa Rais Samia avunje Jeshi la Polisi na aliunde upya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kutoa wito kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kulifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kile ilichodai kuwa limeshindwa kutimiza majukumu yake na kwamba interejensia yake imefeli kwa kiasi kikubwa

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje wa chama hicho John Mrema amezungumza hayo wakati akizungumza na wanahabari leo, Ijumaa Agosti 30.2024, mkutano uliolenga kukanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi iliyotoka mapema leo ikidai kuwa viongozi wa chama hicho wamepanga njama za siri za kufanya matukio ya uvunjifu wa amani ikiwemo kuvamia kwenye vituo vya Polisi

Kuhusu uwepo wa madai ya watu kutekwa na kupotea, CHADEMA imeendelea kumshauri Rais Dkt. Samia kuingilia kati jambo hilo na kuunda tume maalum yenye hadhi ya kijaji ili ifanye uchunguzi wa mambo hayo kwa kuwa haikubaliki kuona Jeshi la Polisi linalotuhumiwa kuhusika kwa matukio hayo kwa namna moja au nyingine kuonekana likifanya uchunguzi

Katika hatua nyingine CHADEMA imetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuacha kuwachukulia viongozi wa chama hicho kama wahalifu, na kwamba Jeshi hilo linapaswa kutoka hadharani kufuta kauli hiyo

View attachment 3082886View attachment 3082887
Mh! kama anawatuma yeye? nasema KAMA, siyo kuwa anawatuma yeye. Ila kama anawatuma yeye, atalisuka kweli? Maana ukimya wake huu siyo bure even a fool can make sense out of this ukimya!
Alishalipongeza kwa kazi nzuri, Mrema unategemea lolote toka kwake? Erythrocyte
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kutoa wito kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kulifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kile ilichodai kuwa limeshindwa kutimiza majukumu yake na kwamba interejensia yake imefeli kwa kiasi kikubwa

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje wa chama hicho John Mrema amezungumza hayo wakati akizungumza na wanahabari leo, Ijumaa Agosti 30.2024, mkutano uliolenga kukanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi iliyotoka mapema leo ikidai kuwa viongozi wa chama hicho wamepanga njama za siri za kufanya matukio ya uvunjifu wa amani ikiwemo kuvamia kwenye vituo vya Polisi

Kuhusu uwepo wa madai ya watu kutekwa na kupotea, CHADEMA imeendelea kumshauri Rais Dkt. Samia kuingilia kati jambo hilo na kuunda tume maalum yenye hadhi ya kijaji ili ifanye uchunguzi wa mambo hayo kwa kuwa haikubaliki kuona Jeshi la Polisi linalotuhumiwa kuhusika kwa matukio hayo kwa namna moja au nyingine kuonekana likifanya uchunguzi

Katika hatua nyingine CHADEMA imetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuacha kuwachukulia viongozi wa chama hicho kama wahalifu, na kwamba Jeshi hilo linapaswa kutoka hadharani kufuta kauli hiyo

View attachment 3082886View attachment 3082887
Nakushangaaa sana mkuu si juzi tu Tulia kakataa lisijadiliwe swala la kutekwa watu na akisema Hana taarifa kama Kuna watu wamepotea ama kutekwa.


Si Hawa tunawatuhumu kila leo kuwa wanatumiwa na ccm. Una uhakika atafanya hivo ama ni kutwanga maji kwenye kinu Cha udongo wa mfinyazi
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kutoa wito kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kulifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kile ilichodai kuwa limeshindwa kutimiza majukumu yake na kwamba interejensia yake imefeli kwa kiasi kikubwa

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje wa chama hicho John Mrema amezungumza hayo wakati akizungumza na wanahabari leo, Ijumaa Agosti 30.2024, mkutano uliolenga kukanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi iliyotoka mapema leo ikidai kuwa viongozi wa chama hicho wamepanga njama za siri za kufanya matukio ya uvunjifu wa amani ikiwemo kuvamia kwenye vituo vya Polisi

Kuhusu uwepo wa madai ya watu kutekwa na kupotea, CHADEMA imeendelea kumshauri Rais Dkt. Samia kuingilia kati jambo hilo na kuunda tume maalum yenye hadhi ya kijaji ili ifanye uchunguzi wa mambo hayo kwa kuwa haikubaliki kuona Jeshi la Polisi linalotuhumiwa kuhusika kwa matukio hayo kwa namna moja au nyingine kuonekana likifanya uchunguzi

Katika hatua nyingine CHADEMA imetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuacha kuwachukulia viongozi wa chama hicho kama wahalifu, na kwamba Jeshi hilo linapaswa kutoka hadharani kufuta kauli hiyo

View attachment 3082886View attachment 3082887
Tunasubiri majibu kwa mch msigwa!
 
Intelijensia ya polisi ipo vizuri na Nchi ipo salama isipokuwa vijiutekaji tu vinasumbuasumbua.
Tangu tulipoifanya kazi ya hawa bwana kuwa ni ya watu wasio na uwezo wa akili, ndipo tulipokosea. Ndiyo maana kila mara tunashuhudia matukio ya hovyo yakifanywa na haya majitu.

Zile sababu alizozitoa Simbachane kuwa haiwezekani umchukue mtu mwenye akili kwenda kulinda benki, hivyo ni lazima uwachukue wasio na akili, siyo fikra sahihi. Mtu asiye na akili, tegemea kuna uwezekano wa kufanya jambo lolote wakati wowote, baya au zuri. Maana kichwani mwake kunakuwa hakuna mpangilio.

Tulifute hili jeshi la sasa, tuunde jipya litakalosheheni watu wenye akili nzuri. Kwa sasa tunao wasomi wengi hawana kazi, watakubali kuwa kufanya hii kazi. Na mambo ya kiusalama ya nyakati hizi yanahitaji sana akili kuliko nguvu.
 
Mh! kama anawatuma yeye? nasema KAMA, siyo kuwa anawatuma yeye. Ila kama anawatuma yeye, atalisuka kweli? Maana ukimya wake huu siyo bure even a fool can make sense out of this ukimya!
Alishalipongeza kwa kazi nzuri, Mrema unategemea lolote toka kwake? Erythrocyte
Sisi kazi yetu ni kuanika maovu, sasa yeye akipuuza atavuna alichopanda
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kutoa wito kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kulifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kile ilichodai kuwa limeshindwa kutimiza majukumu yake na kwamba interejensia yake imefeli kwa kiasi kikubwa

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje wa chama hicho John Mrema amezungumza hayo wakati akizungumza na wanahabari leo, Ijumaa Agosti 30.2024, mkutano uliolenga kukanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi iliyotoka mapema leo ikidai kuwa viongozi wa chama hicho wamepanga njama za siri za kufanya matukio ya uvunjifu wa amani ikiwemo kuvamia kwenye vituo vya Polisi

Kuhusu uwepo wa madai ya watu kutekwa na kupotea, CHADEMA imeendelea kumshauri Rais Dkt. Samia kuingilia kati jambo hilo na kuunda tume maalum yenye hadhi ya kijaji ili ifanye uchunguzi wa mambo hayo kwa kuwa haikubaliki kuona Jeshi la Polisi linalotuhumiwa kuhusika kwa matukio hayo kwa namna moja au nyingine kuonekana likifanya uchunguzi

Katika hatua nyingine CHADEMA imetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuacha kuwachukulia viongozi wa chama hicho kama wahalifu, na kwamba Jeshi hilo linapaswa kutoka hadharani kufuta kauli hiyo

View attachment 3082886View attachment 3082887
Labda kawatuma jiongeze
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kutoa wito kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kulifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kile ilichodai kuwa limeshindwa kutimiza majukumu yake na kwamba interejensia yake imefeli kwa kiasi kikubwa

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje wa chama hicho John Mrema amezungumza hayo wakati akizungumza na wanahabari leo, Ijumaa Agosti 30.2024, mkutano uliolenga kukanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi iliyotoka mapema leo ikidai kuwa viongozi wa chama hicho wamepanga njama za siri za kufanya matukio ya uvunjifu wa amani ikiwemo kuvamia kwenye vituo vya Polisi

Kuhusu uwepo wa madai ya watu kutekwa na kupotea, CHADEMA imeendelea kumshauri Rais Dkt. Samia kuingilia kati jambo hilo na kuunda tume maalum yenye hadhi ya kijaji ili ifanye uchunguzi wa mambo hayo kwa kuwa haikubaliki kuona Jeshi la Polisi linalotuhumiwa kuhusika kwa matukio hayo kwa namna moja au nyingine kuonekana likifanya uchunguzi

Katika hatua nyingine CHADEMA imetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuacha kuwachukulia viongozi wa chama hicho kama wahalifu, na kwamba Jeshi hilo linapaswa kutoka hadharani kufuta kauli hiyo

View attachment 3082886View attachment 3082887
Alowatuma ndo unamshauri afanye hiki na kile wakati mchezo mzima anaujua
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kutoa wito kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kulifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kile ilichodai kuwa limeshindwa kutimiza majukumu yake na kwamba interejensia yake imefeli kwa kiasi kikubwa

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje wa chama hicho John Mrema amezungumza hayo wakati akizungumza na wanahabari leo, Ijumaa Agosti 30.2024, mkutano uliolenga kukanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi iliyotoka mapema leo ikidai kuwa viongozi wa chama hicho wamepanga njama za siri za kufanya matukio ya uvunjifu wa amani ikiwemo kuvamia kwenye vituo vya Polisi

Kuhusu uwepo wa madai ya watu kutekwa na kupotea, CHADEMA imeendelea kumshauri Rais Dkt. Samia kuingilia kati jambo hilo na kuunda tume maalum yenye hadhi ya kijaji ili ifanye uchunguzi wa mambo hayo kwa kuwa haikubaliki kuona Jeshi la Polisi linalotuhumiwa kuhusika kwa matukio hayo kwa namna moja au nyingine kuonekana likifanya uchunguzi

Katika hatua nyingine CHADEMA imetoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kuacha kuwachukulia viongozi wa chama hicho kama wahalifu, na kwamba Jeshi hilo linapaswa kutoka hadharani kufuta kauli hiyo

View attachment 3082886View attachment 3082887
Imefika mahali wanakaa na kutunga uongo na wanaweka Public?

Jeshi limepoteza hadhi yake sana
 
Back
Top Bottom