CHADEMA yatuma salamu za rambirambi kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha maafa huko Hanang

CHADEMA yatuma salamu za rambirambi kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha maafa huko Hanang

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa chama cha kwanza cha siasa Nchini Tanzania kutuma rambirambi zilizoambatana na salamu za pole kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea huko Hanang na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 20 , huku watu wengine wakiwa hawajulikani walipo.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 49

Taarifa yao hii hapa.

Screenshot_2023-12-03-19-10-44-1.png
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa chama cha kwanza cha siasa Nchini Tanzania kutuma rambirambi zilizoambatana na salamu za pole kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea huko Hanang na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 20 , huku watu wengine wakiwa hawajulikani walipo.

Taarifa yao hii hapa.

View attachment 2832366
Chama kikipoteza muelekeo utaona hata wanachama wanajitahidi kutafuta matukio sasa salamu si ni jambo jema lipi la ajabu hapo!
 
Usilete siasa kwenye masuala ya maafa na maisha ya watu. Ndio shida yenu ninyi Machadema kuleta siasa hadi kwenye vifo vya watu utafikiri mnaombeaga nakusubili maafa na majanga yatokee ili mpate hoja ,hasa baada ya kuwa na ukame wa hoja na kufirisika kisera kwa chama Chenu.

Nani kakwambia kuna mashindano ya kutoa salamu za pole na rambirambi mpaka useme mmekuwa wa kwanza?

Kwani sasa hujuwi kinachoendelea na kinachopiganiwa ni kuokoa maisha ya watu,kutafuta waliopotea na hawajulikani walipo,kutoa huduma za haraka kwa majeruhi,kuzuia na kuwaondoa walio katika maeneo hatarishi zaidi,kutoa misaada ya kibinadamu kwa ambao makazi yao yameharibiwa na kusombwa na maji?

Kazi hiyo imeanza kufanywa na CCM mkoa tangia zilipotoka taarifa ya janga hilo.hiyi ndio kazi inayoendelea kufanywa na CCM kwa kushirikiana na wananchi wa huko,tofauti na ninyi mnaipiga porojo huku mkiwa kwenye makochi yenu na kunywa mipombe yenu.

Acheni na msilete siasa kwenye maisha ya watanzania,ndio maana mnapuuzwa sana na watanzania.nani kawaambieni kuna riadha ya kuwahi kutoa taarifa za pole.kwa sasa riadha iliyopo ni kuokoa maisha ya watu na kuwasaidia wahanga.

Ndio maana Rais Wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan yupo njiani kurejea nchini ili aende eneo la tukio na wakati huo huo tayari ameshatoa maagizo mazito yaliyowatetemesha watendaji wa serikali ili wafike haraka sana eneo la tukio.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa chama cha kwanza cha siasa Nchini Tanzania kutuma rambirambi zilizoambatana na salamu za pole kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea huko Hanang na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 20 , huku watu wengine wakiwa hawajulikani walipo.

Taarifa yao hii hapa.

View attachment 2832366
Chama cha watu.....vijana tujitokeze kuokoa Watanzania wenzetu kwa hali na mali
 
Usilete siasa kwenye masuala ya maafa na maisha ya watu. Ndio shida yenu ninyi Machadema kuleta siasa hadi kwenye vifo vya watu utafikiri mnaombeaga nakusubili maafa na majanga yatokee ili mpate hoja ,hasa baada ya kuwa na ukame wa hoja na kufirisika kisera kwa chama Chenu.

Nani kakwambia kuna mashindano ya kutoa salamu za pole na rambirambi mpaka useme mmekuwa wa kwanza?

Kwani sasa hujuwi kinachoendelea na kinachopiganiwa ni kuokoa maisha ya watu,kutafuta waliopotea na hawajulikani walipo,kutoa huduma za haraka kwa majeruhi,kuzuia na kuwaondoa walio katika maeneo hatarishi zaidi,kutoa misaada ya kibinadamu kwa ambao makazi yao yameharibiwa na kusombwa na maji?

Kazi hiyo imeanza kufanywa na CCM mkoa tangia zilipotoka taarifa ya janga hilo.hiyi ndio kazi inayoendelea kufanywa na CCM kwa kushirikiana na wananchi wa huko,tofauti na ninyi mnaipiga porojo huku mkiwa kwenye makochi yenu na kunywa mipombe yenu.

Acheni na msilete siasa kwenye maisha ya watanzania,ndio maana mnapuuzwa sana na watanzania.nani kawaambieni kuna riadha ya kuwahi kutoa taarifa za pole.kwa sasa riadha iliyopo ni kuokoa maisha ya watu na kuwasaidia wahanga.

Ndio maana Rais Wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan yupo njiani kurejea nchini ili aende eneo la tukio na wakati huo huo tayari ameshatoa maagizo mazito yaliyowatetemesha watendaji wa serikali ili wafike haraka sana eneo la tukio.
Wivu tu
 
Usilete siasa kwenye masuala ya maafa na maisha ya watu. Ndio shida yenu ninyi Machadema kuleta siasa hadi kwenye vifo vya watu utafikiri mnaombeaga nakusubili maafa na majanga yatokee ili mpate hoja ,hasa baada ya kuwa na ukame wa hoja na kufirisika kisera kwa chama Chenu.

Nani kakwambia kuna mashindano ya kutoa salamu za pole na rambirambi mpaka useme mmekuwa wa kwanza?

Kwani sasa hujuwi kinachoendelea na kinachopiganiwa ni kuokoa maisha ya watu,kutafuta waliopotea na hawajulikani walipo,kutoa huduma za haraka kwa majeruhi,kuzuia na kuwaondoa walio katika maeneo hatarishi zaidi,kutoa misaada ya kibinadamu kwa ambao makazi yao yameharibiwa na kusombwa na maji?

Kazi hiyo imeanza kufanywa na CCM mkoa tangia zilipotoka taarifa ya janga hilo.hiyi ndio kazi inayoendelea kufanywa na CCM kwa kushirikiana na wananchi wa huko,tofauti na ninyi mnaipiga porojo huku mkiwa kwenye makochi yenu na kunywa mipombe yenu.

Acheni na msilete siasa kwenye maisha ya watanzania,ndio maana mnapuuzwa sana na watanzania.nani kawaambieni kuna riadha ya kuwahi kutoa taarifa za pole.kwa sasa riadha iliyopo ni kuokoa maisha ya watu na kuwasaidia wahanga.

Ndio maana Rais Wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan yupo njiani kurejea nchini ili aende eneo la tukio na wakati huo huo tayari ameshatoa maagizo mazito yaliyowatetemesha watendaji wa serikali ili wafike haraka sana eneo la tukio.
Risala ndefu lakini pumba tupu , ni lini Makonda ataenda na Punda ?
 
Tayari msafara wetu umeanza
Umeanza kutoka wapi enyi nyumbu? Mnaenda saizi wakati CCM Chama kilicho na uchungu na maisha ya watanzania kipo huko muda wote kikifanya kazi ya uokozi na kutoa misaada wa kila aina kwa wote walioathirika? Mnaenda nyumbani mkiwa mmelewa mipombe yenu halafu unaleta porojo hapa?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa chama cha kwanza cha siasa Nchini Tanzania kutuma rambirambi zilizoambatana na salamu za pole kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea huko Hanang na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 20 , huku watu wengine wakiwa hawajulikani walipo.
Mkuu, unaonaje kama chama kingetoa ile chopa kwenda kusaidia shughuli za uokoaji na kusambaza misaada kwa waathirika? Mi nadhani hiyo ingekuwa bora zaidi kuliko ........
 
Back
Top Bottom