CHADEMA yatuma salamu za rambirambi kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha maafa huko Hanang

CHADEMA yatuma salamu za rambirambi kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha maafa huko Hanang

Mkuu, unaonaje kama chama kingetoa ile chopa kwenda kusaidia shughuli za uokoaji na kusambaza misaada kwa waathirika? Mi nadhani hiyo ingekuwa bora zaidi kuliko ........
Hawana mafuta .pesa zote za michango Mbowe alishazitafuna na ndio maana unaona hata mikutano yake imesitishwa kwa sasa.lakini pia kwa sasa chama kimepasuka vipande vipande kutokana na kutofautiana kwa mwenye kigoda na makamu wake.
 
Jee wametoa msaada gani kama chama, Rambirambi ni heshima kubwa kwa aliyedhurika, lakini tungependa kuona chadema kama chama kikuu cha upinzani, kikijitolea msaada wa kuwasaidia wadhurika, na pia kuwashawishi wenye hali nzuri au matajiri ma mashirika kutoa msaada wa vyakula, dawa na mavazi, sio kusubiri serekali amabo ni wajibu wake.
 
Mkuu, unaonaje kama chama kingetoa ile chopa kwenda kusaidia shughuli za uokoaji na kusambaza misaada kwa waathirika? Mi nadhani hiyo ingekuwa bora zaidi kuliko ........
Tayari mchakato huo umeanza
 
Jee wametoa msaada gani kama chama, Rambirambi ni heshima kubwa kwa aliyedhurika, lakini tungependa kuona chadema kama chama kikuu cha upinzani, kikijitolea msaada wa kuwasaidia wadhurika, na pia kuwashawishi wenye hali nzuri au matajiri ma mashirika kutoa msaada wa vyakula, dawa na mavazi, sio kusubiri serekali amabo ni wajibu wake.
Ujumbe wako umepokelewa
 
Usilete siasa kwenye masuala ya maafa na maisha ya watu. Ndio shida yenu ninyi Machadema kuleta siasa hadi kwenye vifo vya watu utafikiri mnaombeaga nakusubili maafa na majanga yatokee ili mpate hoja ,hasa baada ya kuwa na ukame wa hoja na kufirisika kisera kwa chama Chenu.

Nani kakwambia kuna mashindano ya kutoa salamu za pole na rambirambi mpaka useme mmekuwa wa kwanza?

Kwani sasa hujuwi kinachoendelea na kinachopiganiwa ni kuokoa maisha ya watu,kutafuta waliopotea na hawajulikani walipo,kutoa huduma za haraka kwa majeruhi,kuzuia na kuwaondoa walio katika maeneo hatarishi zaidi,kutoa misaada ya kibinadamu kwa ambao makazi yao yameharibiwa na kusombwa na maji?

Kazi hiyo imeanza kufanywa na CCM mkoa tangia zilipotoka taarifa ya janga hilo.hiyi ndio kazi inayoendelea kufanywa na CCM kwa kushirikiana na wananchi wa huko,tofauti na ninyi mnaipiga porojo huku mkiwa kwenye makochi yenu na kunywa mipombe yenu.

Acheni na msilete siasa kwenye maisha ya watanzania,ndio maana mnapuuzwa sana na watanzania.nani kawaambieni kuna riadha ya kuwahi kutoa taarifa za pole.kwa sasa riadha iliyopo ni kuokoa maisha ya watu na kuwasaidia wahanga.

Ndio maana Rais Wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan yupo njiani kurejea nchini ili aende eneo la tukio na wakati huo huo tayari ameshatoa maagizo mazito yaliyowatetemesha watendaji wa serikali ili wafike haraka sana eneo la tukio.

IMG_6223.jpg
 
Porojo tupu. Mchakato, mchakato, mtachakata mpaka lini? Watu wanahitaji msaada wa kuokolewa toka kwenye maji, nyie bado mko kwenye mchakato 😢😢
Haya endeleeni na mchakato.
Sasa wale wauza sura wanaotumia magari ya umma wamesaidia nini zaidi ya kupiga picha na tope ?
 
Back
Top Bottom