Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,103
CHADEMA yaendeleza harakati za ukombozi wa raslimali za umma dodoma, wakazi wajitokeza kwa wingi kuunga mkono, wa muahidi MBOWE wapo tayari kwa lolote litakalo tokea kwa mabaya au kwa mema mpaka ukombozi upatikane wasema raudi hii chama cha chukua chako mapema hakina nafasi, waingiwa na imani kubwa na harkati za chadema ZIKIONGOZWA NA MBOWE, wazee wasema tupo nyuma yako mwenetu tusaidie kutupatia ukombozi wa kimaendeleo na siyo chuki fitna kama tunavyo fanyiwa kwasasa,

