Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
kwa nini unasema hivyo au wewe ndo unagawa hayo majibo?Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini unasema hivyo au wewe ndo unagawa hayo majibo?Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Wapi? halafu kila nikikuuliza kama wewe ni female hujibu kwanini?Karibu sana
Lakini wabunge wenu huko mbona huwa ni wa ajabu ajabu?View attachment 1490367
Ikumbukwe kwamba hili eneo ni moja kati ya ngome imara mno ya Chadema kanda ya ziwa .
Tunapokea kila jema linaloletwa na kulifanyia kazi .Lakini wabunge wenu huko mbona huwa ni wa ajabu ajabu?
Hamuwezi kumpata mtu kama Sugu akaimarisha uongozi wa chama kwenye eneo hilo?
Ubaguzi wa kijinsia wanini tena jf jamani ? tuchangie tu mada bila kuwafuatilia wanaozileta .Wapi? halafu kila nikikuuliza kama wewe ni female hujibu kwanini?
Mimi nasubiri tu kumwona "--- wa Kyela", kama nilivyomwona na kumpa heshima zote "Husna wa CHADEMA".Ubaguzi wa kijinsia wanini tena jf jamani ? tuchangie tu mada bila kuwafuatilia wanaozileta .
😆😆😆Mimi nasubiri tu kumwona "--- wa Kyela", kama nilivyomwona na kumpa heshima zote "Husna wa CHADEMA".
Nikiliona hili, roho yangu itakuwa imetulia na kujua kwamba mapambano yameanza rasmi.
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu , Mwanza ndio sehemu ambayo Wamachinga wamefanyiwa unyama kuliko sehemu yoyote katika Tanzania , ni unyama kama ule wa soweto enzi zile , eneo kama hilo halijawahi kuwa ngome ya watawalaMfanyie kwenye hizo wilaya zingine.Ila mkileta ujinga wenu Mwanza city tutawapiga nawe!
CCM hatuna chetu Mwanza mwaka huu.Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Nikajua wameunguza majengo kumbe wamekodi watu kwenda ukerewe ili waonekane nyomiView attachment 1490367
Ikumbukwe kwamba hili eneo ni moja kati ya ngome imara mno ya Chadema kanda ya ziwa .
Mwanza wamachinga wamesambaa barabarani hadi kero wewe.Mkurugenzi majuzi kawavaa wakataka kumtwanga! Wanadai wameruhusiwa na Mh.Rais.Kwa kadri ya kumbukumbu zangu , Mwanza ndio sehemu ambayo Wamachinga wamefanyiwa unyama kuliko sehemu yoyote katika Tanzania , ni unyama kama ule wa soweto enzi zile , eneo kama hilo halijawahi kuwa ngome ya watawala
kumbe ni mgeni ! basi karibu sana .Mwanza wamachinga wamesambaa barabarani hadi kero wewe.Mkurugenzi majuzi kawavaa wakataka kumtwanga! Wanadai wameruhusiwa na Mh.Rais.
Mliwashindwa kina Mabula wote 2015 na huyo Wenje wenu.Mnadhani 2020 kuna mtu mtakick out?CCM hatuna chetu Mwanza mwaka huu.
Mgeni au nimezaliwa huku, pole!kumbe ni mgeni ! basi karibu sana .
hatujajiandaa CCM.... tuna makundi. tutahujumiana wao kwa wao.. mnufaika ni wapinzani!Mliwashindwa kina Mabula wote 2015 na huyo Wenje wenu.Mnadhani 2020 kuna mtu mtakick out?
kila siku siyo jumapiliMliwashindwa kina Mabula wote 2015 na huyo Wenje wenu.Mnadhani 2020 kuna mtu mtakick out?