CHADEMA yazidi kuwafikia Wananchi wa Tanzania

CHADEMA yazidi kuwafikia Wananchi wa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Angalia hii halafu Toa Maoni yako

Screenshot_2025-02-22-18-58-36-1.png
Screenshot_2025-02-22-18-58-20-1.png
 
Nani uwapotosha chama tawala au pinzani kinaweza tatua shida zako kama ni hivyo tungeona Zambia Malawi Kenya Ghana nk wao wameendelea kutuzidi
 
Una akili timamu?
Lete hoja acha porojo za wanasiasa wanakutumia wewe mjinga ili washibe.
KAZI ya mjinga ni kumtajirisha nabii, mwanasiasa, mganga wa kienyeji, mfanyabiashara au tajiri.
Pesa duniani zipo kwa wajinga
 
Tupo tayar kuchangia na ningeomba mfanye mchakato wafikishie hata Kwa watu wengine walioko vijijini Kuna watu hawana simu janja
 
Lete hoja acha porojo za wanasiasa wanakutumia wewe mjinga ili washibe.
KAZI ya mjinga ni kumtajirisha nabii, mwanasiasa, mganga wa kienyeji, mfanyabiashara au tajiri.
Pesa duniani zipo kwa wajinga
Sasa unamlilia nani?
 
Back
Top Bottom