Chaggaberbie ni nani na shughuli yake ni ipi hapa town?

mdhalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
282
Reaction score
273
Wadau kama kuna anayemfaham yule demu aliyekuwa anadate na prezzo atufahamishe huyu binti ameobukia wapi bcoz huko instagram ni fujo za picha picha from morning to evening. "Umaarufu" wake umetokana na nini na anafanya shughuli gani inayomsababisha aishi maisha yale ya rangirangi. Au ndo wale wakina Masogangeism??. I'm just curious
 

Mkuu huyo demu ni noma anayeweza kutembea nae ni mwanamme ambae hamjui, anaishi Mineapolis MN. Anazunguka states zote marekani akiskia mfuko wako mrefu tuu anazuka huna haja ya kumtongoza, alivyoskia Prezzo yuko Dallas akampandia ndege mpaka Dallas, demu ni moto wa kuotea mbali anaishi kwa mabuzi, namjua saana alitaka kuniingiza mkenge eti kama nina $1000 atakuja nilipo nikajiuliza kwa K gani nikupe $1000
 
I think kapata umaarufu kupitia Prezo na maneno yake ya shombo kwa mtu aliemvulia pichu na kufirigiswa,ngoja wenye data zaidi waje toka kwa Obama land!!
 
Kwahiyo kiufupi huyu demu kuna kitu anauza. Sasa nimekupata mkuu. Maana huko instagram kama ukiona maisha anayoishi huyo chaga berbie yani hata k-lyne ambaye yupo na mzee wetu mwenye makampuni haishi hivyo.
 
I think kapata umaarufu kupitia Prezo na maneno yake ya shombo kwa mtu aliemvulia pichu na kufirigiswa,ngoja wenye data zaidi waje toka kwa Obama land!!

Poapoa. Yani fujo za huyu chagga berbie Wema hafui dafu. Kama angekuwa anaishi dar mbona pasingekalika. Japokuwa nakiri kwamba kiukweli ana umbo lenye mvuto japokuwa aliwahi kufanya plastic surgery ya kupunguza tumbo
 
Poapoa. Yani fujo za huyu chagga berbie Wema hafui dafu. Kama angekuwa anaishi dar mbona pasingekalika. Japokuwa nakiri kwamba kiukweli ana umbo lenye mvuto japokuwa aliwahi kufanya plastic surgery ya kupunguza tumbo

Uzuri wake ni mkweli ana bwanake permanent ni mpopo (west african) ndio anamuachia aendeshe hayo magari hana hata gari moja na ukweli hadanganyi atakwambia nikitaka gari nampigia D demu kapinda, anajulikana marekani yote wewe taja jina la mtu mwenye hela marekani I swear kama hajamlala basi atamtafuta na sometimes sio hela za Manji, au Mengi anaanzia $1000 kwa watu wengine walioniambia wamepiga wanasema hivyo nikakumbuka hata mie aliniambia hivyo nikajua kanipiga sana, seriously mie ni mwanamme ningeweza kupiga sema demu anasema wanaume wote waliopiga kwake nikaona isiwe issue wife asije akaskia
 

Hahahaha eti wife asije akaskia. Mkuu wewe hutaki ku-kik kwenye mainsta na matwiter?
 
Kwahiyo kiufupi huyu demu kuna kitu anauza. Sasa nimekupata mkuu. Maana huko instagram kama ukiona maisha anayoishi huyo chaga berbie yani hata k-lyne ambaye yupo na mzee wetu mwenye makampuni haishi hivyo.

Na ana katabia ka kusema yeye ni mtamu eti ukinionja huniachi utamsahau mkeo waaapi mbona Abdallah wa DC alikula kona? Nina mshikaji wangu mmoja anasema yeye hata demu amlipe hataki uchafu ule
 
Hahahaha eti wife asije akaskia. Mkuu wewe hutaki ku-kik kwenye mainsta na matwiter?

Mkuu demu choo anapenda mashindano ambayo hayana mbele wala nyuma ulimla anampigia simu mkeo ni kadata nakwambia
 
Mkuu demu choo anapenda mashindano ambayo hayana mbele wala nyuma ulimla anampigia simu mkeo ni kadata nakwambia

Hahaha mkuu I hope hauzidishi chumvi kwenye hizo info...teheheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…