Chagonja amdhalilisha mbowe na watanzania waishio kariakoo

Chagonja amdhalilisha mbowe na watanzania waishio kariakoo

Nimemuona kamishna wa operation na mafunzo wa Polisi Bw.Chagonja akielezea kuhusu kukamatwa kwa Mbowe.

Napenda nimkumbushe tukio dogo tu mabalo halijasahaulika nalo ni kushindwa kumkamata Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala licha hakimu kutoa amri ya kukamatwa.

Pia ameshindwa kujibu hoja ya kwa nini kibali kiliomwa ofisi ya bunge kabla ya kumhoji Mbunge wa CCM toka Shinyanga?

Unawapa wapinzani umaarufu ukiamini kuwa unakisaidia Chama tawala,Pole sana!!!!!
Mbowe amekula jeuri yake wale hastahili huruma. Tena ashukuru mahakama imefumba macho ALISTAHILI AENDE JELA MIEZI 3 KWA KUDHARAU MAHAKAMA
 
Hana miaka mitano yule atakuwa uraiani si tunawaona wengi wanasugua zege mtaani -kanikera sana chagonja basi tuuuuu.
 
Sijui nifanye nini ndugu zangu nisafirishwe katika ndege ya jeshi na escot kubwa kama alivyofanyiwa Freeman. Naona wivu
 
Chagonja anafunua mbele, nyuma anaacha wazi!!! Pole Chagonja na kutafuta umaarufu wako. Mmemlinda mzee bila kulala halafu leo kaachiwa kilaini kama ananawa mlifikiri hatakwenda bunge la bajeti? Kazi ni Kwako!!
 
Alikuwa amevuta bangi nini huyu jamaa? maana wao na debe za bangi wanakaa nazo kila siku ofisini kwao.
 
Chagonja ni **** si tu, maana hukurupuka bila kujua anakokwenda. Anakaa nyangwa nyuma ya kata yangu. Libabu sio riziki.
 
nimemuona kamishna wa operation na mafunzo wa polisi bw.chagonja akielezea kuhusu kukamatwa kwa mbowe.

Napenda nimkumbushe tukio dogo tu mabalo halijasahaulika nalo ni kushindwa kumkamata mkurugenzi wa manispaa ya ilala licha hakimu kutoa amri ya kukamatwa.

Pia ameshindwa kujibu hoja ya kwa nini kibali kiliomwa ofisi ya bunge kabla ya kumhoji mbunge wa ccm toka shinyanga?

Unawapa wapinzani umaarufu ukiamini kuwa unakisaidia chama tawala,pole sana!!!!!
well said!!!
 
Back
Top Bottom