Naongezea hapo! Kataa watu wanaosahau kuwa tuko karne ya ishirini na moja hata hawakumbuki kuiweka nchi kwenye ramani ya kisayansi na Technologia, kataa watu wanaopenda kuwalaghai watu kwa mipesa haramu wakati wa uchaguzi, kataa watu waioona kero kwa dada zetu kupigwa mimba kila kukicha, kataa watu wanaosahau kuwa 70% ya watz ni masikini wa kutupwa, kataa watu hawa wasiokuwa na vipaumbele kwenye masuala muhimu ya kitaifa kama ( Elimu, Afya, mazingira, Tafiti za kitaalamu, Ubunifu wa kuzalisha mali nk)
Nachosema watz wenzangu kuwa tupende tusipende mambo mazuri hayaji kirahisi, we need some people to sucrifice their time, families more over their lives. Ukiangalia nchi kama China hawakufika hapo kwa ndoto za kimweli wala kwa kupiga domo, ni kwa vitendo tena serious working.
SIku moja nikiwa jijini seoul, nikapanda subway nilikuta kuna siti za wazee ambazo ni maalumu kwa ajili yao ikiwa ni heshima kwao kwa kujitolea kuijenga nchi wakati wa miaka ya 1970's. So its the matter of leadership and human resource management. Vibaka kibao hawana kazi, watu kibao wanalia njaa lakini maji kibao sehemu kibao. We can take them and teach them how to do the work. Hao hao watajenga nyumba nzuri, watakuwa wanalima na kila kitu kitakuwepo kwenye makambi yao kama ni soka watacheza, wataangalia EPL na vitu kibao.
CHAGUA CHADEMA, tuanze mabadiliko. Human Rights ziko sana lakini bila kuvunjwa, hatufiki popote ndugu zangu watz, saizi ni mwendo wa kijeshi jeshi ndo tutaheshimiana.