Elections 2010 Chagua CHADEMA 2010

Elections 2010 Chagua CHADEMA 2010

Jafar

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2006
Posts
1,136
Reaction score
54
Usipoteze muda wako umeshaumia kiasi cha kutosha, kataa kuendelea kuumia tena. Yote haya yatawezekana kwa kupiga kura yako na kuchagua CHADEMA.

Kumbuka Dr. Slaa ni silaha yako ya kupambana na kuleta maendeleo Tanzania. Nchi nyingi zilizokataa siasa za mazoea sasa ziko mbali mfano Zambia, Botswana, Ghana, Malawi n.k. kwa upande mwingine nchi zilizokumbatia siasa za mazoea angalia zilipo mfano Tanzania, Zimbabwe n.k.

Kataa watu wanaokubali kupokea vyandarua bure kutoka kwa wakora kwa kisingizio cha malaria na kubadirishana na dhahabu yetu.

Changua CHADEMA 2010
 
Usipoteze muda wako umeshaumia kiasi cha kutosha, kataa kuendelea kuumia tena. Yote haya yatawezekana kwa kupiga kura yako na kuchagua CHADEMA.

Kumbuka Dr. Slaa ni silaha yako ya kupambana na kuleta maendeleo Tanzania. Nchi nyingi zilizokataa siasa za mazoea sasa ziko mbali mfano Zambia, Botswana, Ghana, Malawi n.k. kwa upande mwingine nchi zilizokumbatia siasa za mazoea angalia zilipo mfano Tanzania, Zimbabwe n.k.

Kataa watu wanaokubali kupokea vyandarua bure kutoka kwa wakora kwa kisingizio cha malaria na kubadirishana na dhahabu yetu.

Changua CHADEMA 2010

🙄"Mjomba najua utapita, watanzania bado wapo usingizini, safari hii kura yangu hutaipata, japo haiwezi kukuzuia lakini nafsi yangu itakuwa na amani kwamba sikushiriki kukusimika" [/COLOR]

Badili hiyo sahihi yako ili unaowahamasisha waone uko makini na dhamira thabiti. Acha kuwa vuguvugu!
 
Naongezea hapo! Kataa watu wanaosahau kuwa tuko karne ya ishirini na moja hata hawakumbuki kuiweka nchi kwenye ramani ya kisayansi na Technologia, kataa watu wanaopenda kuwalaghai watu kwa mipesa haramu wakati wa uchaguzi, kataa watu waioona kero kwa dada zetu kupigwa mimba kila kukicha, kataa watu wanaosahau kuwa 70% ya watz ni masikini wa kutupwa, kataa watu hawa wasiokuwa na vipaumbele kwenye masuala muhimu ya kitaifa kama ( Elimu, Afya, mazingira, Tafiti za kitaalamu, Ubunifu wa kuzalisha mali nk)

Nachosema watz wenzangu kuwa tupende tusipende mambo mazuri hayaji kirahisi, we need some people to sucrifice their time, families more over their lives. Ukiangalia nchi kama China hawakufika hapo kwa ndoto za kimweli wala kwa kupiga domo, ni kwa vitendo tena serious working.

SIku moja nikiwa jijini seoul, nikapanda subway nilikuta kuna siti za wazee ambazo ni maalumu kwa ajili yao ikiwa ni heshima kwao kwa kujitolea kuijenga nchi wakati wa miaka ya 1970's. So its the matter of leadership and human resource management. Vibaka kibao hawana kazi, watu kibao wanalia njaa lakini maji kibao sehemu kibao. We can take them and teach them how to do the work. Hao hao watajenga nyumba nzuri, watakuwa wanalima na kila kitu kitakuwepo kwenye makambi yao kama ni soka watacheza, wataangalia EPL na vitu kibao.

CHAGUA CHADEMA, tuanze mabadiliko. Human Rights ziko sana lakini bila kuvunjwa, hatufiki popote ndugu zangu watz, saizi ni mwendo wa kijeshi jeshi ndo tutaheshimiana.
 
Leteni hoja madhubuti ya kwanini watanzania tumchague Dr. Slaa na sio kusema tu tunahitaji mabadiliko (change for its own sake haina maana).

Watanzania wanahitaji kupima viongozi on the basis of their merits and ability to deliver positive and needed results to the public na sio kuchagua chama au mtu for their own sake!!

Binafsi nitachagua diwani, mbunge na Rais madhubuti, mwenye vision na anayekerwa na matatizo waliyonayo watanzania na mwenye dawa ya kutatua matatizo hayo kwa kushirikiana na watanzania wengine wazalendo na nchi marafiki bila kujali yyuko chama gani.
 
Aisee umesema vyema. Safari hii hebu tubadilike kidogo! CHANGE WE NEED!
Tunataka watu wenye uchungu na taifa hili, sio blaa blaa tu na maneno matamu kama hadithi halafu
no action. We need a serious person who will Change the nation from NO to Yes, from poverty to prosperity
from ubadhirifu wa mali za uma to uadilifu na uzalendo.

Thats why we need Dr. Slaa to Lead us! Tell your friends, and shout to everybody that
this term is for SLAAAAAAAAAAAAAA! A WEAPON FOR CHANGE TO PROSPERITY!
 
Badili hiyo sahihi yako ili unaowahamasisha waone uko makini na dhamira thabiti. Acha kuwa vuguvugu!

Kama unafuatilia siasa neno "mjomba" hapo ni JK. Na dhamira yangu iko wazi kwenye saini yangu. Saini inawaasa wale wapumbavu wachache wachukue maamuzi binafsi.
 
Leteni hoja madhubuti ya kwanini watanzania tumchague Dr. Slaa na sio kusema tu tunahitaji mabadiliko (change for its own sake haina maana).

Watanzania wanahitaji kupima viongozi on the basis of their merits and ability to deliver positive and needed results to the public na sio kuchagua chama au mtu for their own sake!!

Binafsi nitachagua diwani, mbunge na Rais madhubuti, mwenye vision na anayekerwa na matatizo waliyonayo watanzania na mwenye dawa ya kutatua matatizo hayo kwa kushirikiana na watanzania wengine wazalendo na nchi marafiki bila kujali yyuko chama gani.

Yaani mpaka leo wewe hujapima ukiona mwenyewe basi nyie ndio wale wale. Unasubiri kanga na fulana ili uwambiwe umpigie nani. Pima mwenyewe katika maisha yako ya kila siku halafu amua - usitegemee data za kupikwa zikuamulie mustakabali wa maisha yako. Chagua CHADEMA.
 
na mimi naongezea hapo..kataa Serikali ya kidhalimu inayowakumbatia mafisadi wanaofilisi Nchi yetu na kuwaacha Watanzania wengi wakiwa kwenye umaskini uliokithiri
 
Kataa kupokea rushwa za kofia ili uweze kutoa maamuzi sahihi,fuatilia kampeni na usikilize sera na sio sura na kutabasamu kwingi kulikopitiliza,kuwa jasiri kama kamanda vitani. chagua chadema.
 
Kama unafuatilia siasa neno "mjomba" hapo ni JK. Na dhamira yangu iko wazi kwenye saini yangu. Saini inawaasa wale wapumbavu wachache wachukue maamuzi binafsi.

"Mjomba najua utapita, watanzania bado wapo usingizini, safari hii kura yangu hutaipata, japo haiwezi kukuzuia lakini nafsi yangu itakuwa na amani kwamba sikushiriki kukusimika"

Hoja ya Omutwale kama nimemuelewa vizuri ni kwamba unahamasisha watu kuchagua chadema wakati signature yako inaonyesha kuwa kura yako haitaipata mjomba lakini haitamzuia kurudi madarakani, hii inawavunja moyo unaowahamasisha, naomba ibadili ndugu
 
"Mjomba najua utapita, watanzania bado wapo usingizini, safari hii kura yangu hutaipata, japo haiwezi kukuzuia lakini nafsi yangu itakuwa na amani kwamba sikushiriki kukusimika"

Hoja ya Omutwale kama nimemuelewa vizuri ni kwamba unahamasisha watu kuchagua chadema wakati signature yako inaonyesha kuwa kura yako haitaipata mjomba lakini haitamzuia kurudi madarakani, hii inawavunja moyo unaowahamasisha, naomba ibadili ndugu

Wengi wape
 
Naongezea,
Chagua CHADEMA tuondokane na umwenzetu na kulindana kuliko tufikisha hapa
tulipo!
Chagua CHADEMA tuondokane na serikali ya kifisadi
Chagua CHADEMA tuondokane na serikali ya kibabe inayo tisha wafanyakazi wake na
kuwambia waajiri wwafukuze wakidai haki zao
Chagua CHADEMA tuondokane na serikali ya kishikaji, akiharibu hapa anahamishiwa
pale nako akaharibu
Chagua CHADEMA tumsimike raisi mwenye kuliita koleo kwa jina lake siyo kijiko
kikubwa (nawajua wezi, wauza unga nawapa muda)
Chagua CHADEMA tuondokane na serikali inayoona watoto wetu kubakwa na kupewa
mimba ni kihehele chao
Chagua CHADEMA tuondokane na serikali inayo husudu 'vigagula' (kwamba atye pinga
atakufa !!!!!)
Chagua CHADEMA tusimike raisi mwenye uthubutu
Chagua CHADEMA tupate kiongozi mwenye kujenga hoja
Chagua CHADEMA tupate kiongozi anaye jua shida/iumasikini wa watanzania na
chanzo chake
Chagua CHADEMA tupate kiongozi anaye jua kujenga hoja na si .... hata pasipo stahili
Chagua CHADEMA tupate vongozi ........
Chagua CHADEMA tupate viongozi ........ waweza endelea kwani sababu ni nyiiiiingi
mno za 'why CHADEMA NOW'
 
Back
Top Bottom