kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Chukua 6 mkuu.
Unawazimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua 6 mkuu.
hahaha hiyo Rav 4 nyeupe umeielewa sana mzee.... ukiwa hauna familia unanunua mkuu, ila ukiwa na familia unakuwa na mipango ya kuendeleza familia zaidi baadhi ya vitu unavyovipenda unavikosa kishingo upande..Ila maisha bwana pesa ipo kwenye account ila sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
hahaha hiyo Rav 4 nyeupe umeielewa sana mzee.... ukiwa hauna familia unanunua mkuu, ila ukiwa na familia unakuwa na mipango ya kuendeleza familia zaidi baadhi ya vitu unavyovipenda unavikosa kishingo upande..
Huu mtambo umeamua tu kwa makusudi kutokuweka bei ili utuvuruge sisi makapuku, au!! Weka bei Bwashee ili tuanze kupigana vikumbo.
Punguza tuimalizie.
Bado ipo. Mimi nina milion 5Toyota RUNX
cc 1490
Engine vvti
Price: 8.7m
View attachment 1699171View attachment 1699174View attachment 1699175
Hiyo nakupa 2.5 boss
Hiv kwel kuna used kwa hapa bongo aina kama iyo 12m?Premio new model
Cc 1490
Yom: 2002
Price: 12.5m
View attachment 1699748View attachment 1699750View attachment 1699747View attachment 1699749
Hii sio Spacio boss
Hii vitz nikupe 4 cash
Eti wanaiita hii pisi baby walker?Habari wadau na wanajukwaa kwa ujumla.
Nitakua naleta gari ninazotumiwa na maboss wanaouza gari zao kutoka sehemu tofauti tofauti.
Ungana nami sasa.
TOYOTA VITZ clavia
Cc 1290
Engine vvti
Price: 6m
Location: Mbezi
Mobile: 0785 857564
View attachment 1699135View attachment 1699138View attachment 1699139
I hope ishaondoka!.au bado ipo?
Hii ni invlusie ya taxes??Toyota hilux RAIDER
Price: 44m
View attachment 1781377View attachment 1781378View attachment 1781379
Hizi picha unapostia freebasics ama shida inakuwa ni nini?
Nunua mzee 😅😅😅 kumbe pesa ipoIla maisha bwana pesa ipo kwenye account ila sasa[emoji23][emoji23][emoji23]