hahahahahahaha halafu nakuhitaji kule mahali kuna jambo nataka ulitatue mara mojaLugha za wastaafu hizo ambao baba jeska alisemwa wanawashwa.
Zizoee tu [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Upendo ni tiba.
Wapi tena huko best ?hahahahahahaha halafu nakuhitaji kule mahali kuna jambo nataka ulitatue mara moja
haaa basi nimepotea njia acha tu nitaomba mwingine anisaidieWapi tena huko best ?
Upendo ni tiba.
Kwa nini mkuu
Coz sina nilichomiss zaidi ya maumivu...nilipo nina furaha na amani tele...so siwezi rudi kuzimuKwa nini mkuu
Upendo ni tiba.
Huyo aliyekutenda tutamtumia Nissan jeupe. [emoji85]Coz sina nilichomiss zaidi ya maumivu...nilipo nina furaha na amani tele...so siwezi rudi kuzimu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaaHuyo aliyekutenda tutamtumia Nissan jeupe. [emoji85]
Upendo ni tiba.
Si mchezo
Kuna x mmoja alinilia pesa saana. Nafikiri ningekuwa mbali saana kama asingekula pesa zangu za mtaji.una utani my blood brother
hao ma x walifanyeje?
jamani msamehe tu maana hata wewe kuna vitu ulikuwa una enjoy ndo maana zikawa zinakutoka bila kuwazaKuna x mmoja alinilia pesa saana. Nafikiri ningekuwa mbali saana kama asingekula pesa zangu za mtaji.
Vitu nilivyopata from her ni vichache saana. Boxa na singlend.jamani msamehe tu maana hata wewe kuna vitu ulikuwa una enjoy ndo maana zikawa zinakutoka bila kuwaza
teh teh pole my blood brother
Na ile nyingine my brother? Ile ya siri hukuwa unapata?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji87] [emoji85]Vitu nilivyopata from her ni vichache saana. Boxa na singlend.
Huyu simsamehi...labda anirudishie tupesa twangu
Ile si ilikuwa inasubiri paroko aweke sahihi...Na ile nyingine my brother? Ile ya siri hukuwa unapata?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji87] [emoji85]