BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima jana aliwaomba watumishi wake kama wanaweza[pata muda wakamsikilize mgombea urais wa chadema.dk slaa,katika ibada hiyo iliokuwa na mamb mazuri mwisho askofu aliwaatangazia atutaki kuja kusikia makelele yenu ooh rais bomu ooh nendeni wenyewe amueni mnachagua JK ama SILAA ZA VITA...na kumalizia usemi wao MAJESHI MAJESHI MAJESHI YABWANA
Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA
chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano
KAZI IPO
Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA
chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano
KAZI IPO