CHAGUA JK AMA SILA ZA VITA-Askofu Gwajima

CHAGUA JK AMA SILA ZA VITA-Askofu Gwajima

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima jana aliwaomba watumishi wake kama wanaweza[pata muda wakamsikilize mgombea urais wa chadema.dk slaa,katika ibada hiyo iliokuwa na mamb mazuri mwisho askofu aliwaatangazia atutaki kuja kusikia makelele yenu ooh rais bomu ooh nendeni wenyewe amueni mnachagua JK ama SILAA ZA VITA...na kumalizia usemi wao MAJESHI MAJESHI MAJESHI YABWANA

Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA

chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano


KAZI IPO
 
Basiasi, Una uthibitisho juu ya haya uliyoyabandika hapa hasa hiyo para ya mwisho? hatuhitaji udini sisi na sidhani kama askofu anaweza kuuliza swali lenye jibu hilo kanisani.
 
hahaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima jana aliwaomba watumishi wake kama wanaweza[pata muda wakamsikilize mgombea urais wa chadema.dk slaa,katika ibada hiyo iliokuwa na mamb mazuri mwisho askofu aliwaatangazia atutaki kuja kusikia makelele yenu ooh rais bomu ooh nendeni wenyewe amueni mnachagua JK ama SILAA ZA VITA...na kumalizia usemi wao MAJESHI MAJESHI MAJESHI YABWANA

Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA

chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano


KAZI IPO

Sijaelewa kitu!
 
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima jana aliwaomba watumishi wake kama wanaweza[pata muda wakamsikilize mgombea urais wa chadema.dk slaa,katika ibada hiyo iliokuwa na mamb mazuri mwisho askofu aliwaatangazia atutaki kuja kusikia makelele yenu ooh rais bomu ooh nendeni wenyewe amueni mnachagua JK ama SILAA ZA VITA...na kumalizia usemi wao MAJESHI MAJESHI MAJESHI YABWANA

Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA

chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano


KAZI IPO

mh hawezi askofu akatamka hili we!
 
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima jana aliwaomba watumishi wake kama wanaweza[pata muda wakamsikilize mgombea urais wa chadema.dk slaa,katika ibada hiyo iliokuwa na mamb mazuri mwisho askofu aliwaatangazia atutaki kuja kusikia makelele yenu ooh rais bomu ooh nendeni wenyewe amueni mnachagua JK ama SILAA ZA VITA...na kumalizia usemi wao MAJESHI MAJESHI MAJESHI YABWANA

Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA

chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano


KAZI IPO
Habari hii ni ya uchochezi na inahatarisha amani ya nchi. Kwa mfano watu wakimfuata huyo askofu na kumpa kipigo kwa kuudhiwa na kauli kama hizi zisizo hata na mantiki, hapa utakuwa umehatarisha amani ya nchi. Siku kama hizi ni vizuri kupost habari ambazo hazitaleta chuki baina ya waumini na viongozi wao wa kidini. Pia viongozi wa dini kwa kutambua uelewa wa waumini wao ni bora wasitoe kauli ambazo waumini wao watazielewa vibaya.
 
Eleweni mnacho kisema na kukiwaza. Msihangaike, jiulizeni Askofu Gwajima alipataje viwanja vya Tanganyika Packers? Mali ya serikali??
Alipewa na nani kama siyo JK? Mbona hili ni wazi !!
Kuweni macho na wanaojiita watumishi wa Mungu waliokabidhiwa mali za serikali kiujanja ujanja.
Analipa fadhila kwa kumharibia Dr. Slaa.Mwaka wa ajabu huu.WANAOFILISIKA KISIASA WANAJIHALALISHA KWA SERA ZA UDINI KAMA TUNAVYOSHUHUDIA SASA.
Profesa Safari ni mwislamu tena anayetetea sana uislamu mbona anakubali kwamba sera za Slaa na CHADEMA kwa ujumla ni safi!!!
 
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima jana aliwaomba watumishi wake kama wanaweza[pata muda wakamsikilize mgombea urais wa chadema.dk slaa,katika ibada hiyo iliokuwa na mamb mazuri mwisho askofu aliwaatangazia atutaki kuja kusikia makelele yenu ooh rais bomu ooh nendeni wenyewe amueni mnachagua JK ama SILAA ZA VITA...na kumalizia usemi wao MAJESHI MAJESHI MAJESHI YABWANA

Najua kama kuna wana ccm hapa msipate taabu kushangaa viti vyangu nimewapa chadema na nimewaambia hata vikiisha waje kuchukua vimejaa tele ...wiki iliopita niliwasaidia ccm viti vingi tu na sikuitaji hata senti moja leo ni chadema so kama mwana ccm usiumize kichwa kwa hili zamu yako uliitumia...nasema hiiiiiiiiivvvvvvvvvvvvv nenda kamsikilize silaaaaaaaa sera zake mwisho amuaa unachaguaaaaaaaaaaa JK AMA SILAAAA ZA VITAAAAAAAAAAAA

chonde chonde mkitoka hapa tukamsikilize na mi naelekea kama ifuatavyo..kweli jamaa akaondoka nakwenda kupaki gari lake ...kwenye mkutano


KAZI IPO
Yeyote mwenye mtazamo huu amefirisika kisiasa..............
 
Basiasi, Una uthibitisho juu ya haya uliyoyabandika hapa hasa hiyo para ya mwisho? hatuhitaji udini sisi na sidhani kama askofu anaweza kuuliza swali lenye jibu hilo kanisani.

hakuna udini tunaongelea yaliosemwa na mtumishi wa mungu naomba uheshimu hilo
 
Back
Top Bottom