Chagua Kisingizio Kimoja tu cha Kujitetea kwa Mashabiki wa hovyo baada ya Msudani kufanya yake

Chagua Kisingizio Kimoja tu cha Kujitetea kwa Mashabiki wa hovyo baada ya Msudani kufanya yake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Refa katuonea Saba
2. Tumefanyiwa Fujo
3. Tulipuliziwa Dawa Vyumbani
4. Tumerogwa sana
5. TFF ilitutenga haikutupa Mbinu
6. Mashabiki zetu walizuiwa Kuingia Uwanjani
7. Tumejitahidi ila Malaika Bahati hakuwa upande Wetu

Bado GENTAMYCINE tena kwa Kujiamini kabisa nasisitiza kuwa hata Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba 2022 Simba SC inaenda Kushinda kwa 100%.
 
Naongezea 8. Picha za matangazo ya mpila zimechangia pia haiwezekani
 
Watakwambia ni uchovu wa Safari.
Mayele hakuwa kwenye fomu.
Ibenge ametuharbia mipango.
Timu haikuwa na bahati.
 
Ukweli refa sio tu aliamua kuwabeba, ila alikubali kujidhalilisha Kwa kiwango Cha Afrika. Bahati mbaya ni miongoni mwa waamuzi wanao tarajiwa kuchezesha kombe la Dunia.[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ukweli refa sio tu aliamua kuwabeba, ila alikubali kujidhalilisha Kwa kiwango Cha Afrika. Bahati mbaya ni miongoni mwa waamuzi wanao tarajiwa kuchezesha kombe la Dunia.[emoji1][emoji1][emoji1]
Mlinyimwa penalty ila mechi ile mlitakiwa muimalize kwa mkapa sasa ugenini kwa watu unategemea nn
 
Back
Top Bottom