Chagua mpigaji wako mmoja hatari wa Free kick

Chagua mpigaji wako mmoja hatari wa Free kick

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
IMG_1429.jpg
 
Antônio Augusto Ribeiro Reis Júnior (born 30 January 1975), commonly known as Juninho Pernambucano or simply Juninho, is a Brazilian former professional footballer who was most recently the sporting director of French club Olympique Lyonnais. A dead-ball specialist noted for his bending free kicks, in particular the knuckleball technique which he developed, Juninho holds the record for the highest number of goals scored through free kicks and he is considered by many to be the greatest free kick-taker of all time
 
Juninho ndio bora zaidi ana rekodi ya goli nyingi za free kicks, ila kwenye hiyo list ungeweka marehemu babu pele, nadhani katika magoli ya freekicks yeye ni wa pili kwa idadi baada ya juninho.
 
Roberto Carlos yeye akitengewa free kick Hana haja ya kutumia akili, nyie wekeni ukuta alaf yeye anajivuta kidogo mbali alaf anakuja Kwa speed moja si ya nchi hii anafyatua Bomba hyo mtajijua na ukuta wenu , kipa adake asidake mpira unajaa wavuni, inasemekana jamaa akipiga Kasi ya mpira inakuwa 1000km/hr....na alishawahi toboa nyavu 😁😁😁😁😁


images (90).jpeg
 
Back
Top Bottom