Uchaguzi 2020 Chagua Seif Maalim Seif, Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya AAFP

Uchaguzi 2020 Chagua Seif Maalim Seif, Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya AAFP

Tunakaribia saa chache za kufanya UAMUZI muhimu kwa mustakbal wa watu,nchi,taifa na maendeleo yetu.Bado tuna changamoto ya kutambua UMUHIMU wa demokrasia na faida yake.
 
Unadhan kutumia jina linalofanana na mgombea mwenye wafuasi karibia zanzibar yote ndio tiketi ya wewe kupata kura, utapata kura yako labda na familia yako tu.
 
Nikiwa NJIANI kurejea Dar Es Salaam, nikitokea kisiwani PEMBA kupitia mkoani TANGA, katika mwendelezo wa KAMPENI za UCHAGUZI mkuu 2020, kwa KUONANA na WANANCHI, nilibahatika kumuona mwanaMAMA huyu, eneo la MWENGE, mbele ya iliyokuwa EPHATA Bank.

Ni akinaMAMA wengi wenye changamoto za kiUCHUMI kama huyu, wanahitaji BIMA ya AFYA kwao na familia zao.

Wanahitaji AJIRA za uhakika kwa VIJANA na WATOTO wao wanaomaliza ELIMU ya juu ili nao wafaidi jasho la damu watoalo katika kuwasomesha VIONGOZI wa baadaye na hivi punde wa TAIFA letu.

Ni HAKI yao kupatiwa MIKOPO nafuu na isiyo RIBA na uwezeshwaji kiuchumi.


Kwa hali ya SASA, mwanaMAMA huyu HAMUDU hata MILO 3 licha ya kufanya KAZI mwa bidii zote. NAULI ya daladala bado ni changamoto kwake, sisemi ya TAKSI au ....

Ni mwanaMAMA huyu akirejea nyumbani MAJI hakuna na kama yapo basi bili ya maji kwake ni mithili ya kutonesha kidonda chake cha UCHUMI duni na wa CHINI ambao bado anaishi nao,licha ya baadhi ya WACHACHE ndani ya jamii yake na nchi yake, KUINGIA uchumi wa KATI(Social and Economic Inequality).

Na hapo alipo SI hasha anasomesha watoto wake ambapo endapo watafika CHUO KIKUU, bado atalazimika MKOPO kwa kuilipia elimu ambayo kimsingi ni haki yake ya msingi.

KWANINI uendelee KUTESEKA kwa kuCHAGUA kwa mazoea!!?

#CHAGUA MABADILIKO KWA WOTE
#CHAGUA SEIF MAALIM SEIF
#CHAGUO BORA NA SALAMA KWA WATANZANIA
Umeongea Ukweli mtupu Maalim ,inasikitisha sana nchi yenye kila aina ya utajiri still wananchi wake ni masikini wa kutupwa wakati mafisadi ya ccm yanajisifu kutembelea V8 na 1JZ halafu hawaizimi inaunguruma ikiwa silence na ndani kipupwe kama mufindi.

Mkiingia madarakani:-

1.Bima ya afya ni muhimu sana ,wananchi wanatekeseka kwa matibabu.
2.Fao la kujitoa na pia Maalim ZSFF nao waweke fao la kujitoa maana huko halipo.
3.PAYE ni shida ,wapunguze PAYE maana haina maana ,serikali ijikite kwenye vyanzo vya asili vilivyonacho.
4.VAT ipungue ili purchasing power iongezeke.
5.Investors wapewe kipaumbele hao ndio wanaoajiri % kubwa ya wananchi ,serikali haiwezi kuajiri watu wote ,sector binafsi ndio waajiri wakuu.
6.Mikopo kwa vijana ,wakinamama ,kutoka halmashauri.
7.Benki zinapata faidi kubwa sana wajaribu kupunguza riba za mikopo na charges montly ,ATM fees etc
8.Elimu rure hadi chuo....Kabla ya bodi ya mikopo watu walikuwa wanasoma bure.
 
Mzee unaonaje ukapumzika siasa sasa maana kila Uchaguzi unagombea Urais wewe tu it is as if wewe una haki ya kuzaliwa ya hiyo nafasi.
Yaani nyie Vijana wa Chakubanga hata content ya thread hamsomi umesoma jina tuu ukajua ni Maalim Seif wa ACT.
 
Back
Top Bottom