Chagua Watatu Bora Kuwahi Kuvaa Jezi Namba 10

Wazza=Unsung hero
 
Umepewa nafasi ya kuchagua wachezaji watatu bora kuwahi kuvaa jezi namba 10 kwa levo ya klabu, chaguo lako ni lipi?

Mimi naenda hivi...
1.Messi
2.Rui Costa
3.Modric
Muondoe andunje/mbilikimo kwenye list then muweke GAUCHO!
 
Wazza toka atoke untd sina tena mzuka kucheki game tena
 
mzee hao wakina maradona walicheza soka ambalo hata offside hakuna
Asee achana na hao miamba. Hebu uje utafute hata clip zao nyingi utajua tu hao majamaa waliku Wa hawajimyambafai Bali walikuwa ni miamba kwelikweli. Vitu vingi wanavyofanya wachezaji Wa kileo ni kopi tu za hao majamaa
 
Hao hao unaowaona kwenye avatar yangu ndio namba 10 bora kabisa kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka...wenye wivu na chuki karibuni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…