Chaguo la Magufuli (Naibu Spika) mkao wa kula

Chaguo la Magufuli (Naibu Spika) mkao wa kula

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Baada ya beef za Ndugai kwa Rais Samia naibu spika amekuwa mkimwa sana akisubiri spika ajichimbie shimo mwenyewe. Sasa huu mwanja ni mzuri kwake. Ndugai hata Magufuli alikuwa hampendi

62030BAE-F7A4-467F-8496-5F461274C586.jpeg
 
Baada ya beef za Ndugai kwa Rais Samia naibu spika amekuwa mkimwa sana akisubiri spika ajichimbie shimo mwenyewe. Sasa huu mwanja ni mzuri kwake. Ndugai hata Magufuli alikuwa hampendi
Kumbe huna habari kwann huyu bibi ametulia kama jina lake? Ohoo! Pole Sana ndugu yangu.
Alijisahau Sana huyu wakati wa godfather wake. Alimuona bi mkubwa si lolote si chochote. Alimnyali na kumpunga kama harufu chafu........ingia pm nikupe mkanda
 
Yaani nchi sijui tumerogwa? Yaani tunafikiria Tulia kuwa Spika?
 
Back
Top Bottom