Sema shujaa wa awamu#5,ila mnyonge na kinyonga awamu#6Ukitaka kuwajua Wahuni ongea kama alivyoongea Mhe.Ndugai Shujaa wa Tanzania.
Kumbe huna habari kwann huyu bibi ametulia kama jina lake? Ohoo! Pole Sana ndugu yangu.Baada ya beef za Ndugai kwa Rais Samia naibu spika amekuwa mkimwa sana akisubiri spika ajichimbie shimo mwenyewe. Sasa huu mwanja ni mzuri kwake. Ndugai hata Magufuli alikuwa hampendi
Baada ya beef za Ndugai kwa Rais Samia naibu spika amekuwa mkimwa sana akisubiri spika ajichimbie shimo mwenyewe. Sasa huu mwanja ni mzuri kwake. Ndugai hata Magufuli alikuwa hampendi
View attachment 2061254
Zote hizi ni takataka tu, ni chupa na mfuniko.Baada ya beef za Ndugai kwa Rais Samia naibu spika amekuwa mkimwa sana akisubiri spika ajichimbie shimo mwenyewe. Sasa huu mwanja ni mzuri kwake. Ndugai hata Magufuli alikuwa hampendi
View attachment 2061254
Kama unamuona ndugai ni shujaa, basi wewe ni made in mirembeUkitaka kuwajua Wahuni ongea kama alivyoongea Mhe.Ndugai Shujaa wa Tanzania.