Elections 2010 Chaguo Letu Bumbuli: January Makamba

Elections 2010 Chaguo Letu Bumbuli: January Makamba

january%20makamba2.jpg
 
Mkubali msikubali Januari is an asset! Anazo akili na anaweza kufika mbali sana.

Hivi huyu Januari ana "akili" kiasi gani? Maana kila jina lake litajwapo mara nyingi lazima liendane na neno "akili".

Mimi mbona namwona wa kawaida tu. Alichofanya chenye "akili" ni kipi haswa? Na hizo "akili" zake mnazipimaje?

Najua amesomea Marekani kwa mujibu wake yeye mwenyewe. Je alihitimu na heshima gani? Summa Cum Laude? Magna Cum Laude?

Eti ana "akili". Watu bana...
 
AMEBEBWA NA kIKWETE , MAFISADI NA BABA YAKE, hana Jipya ni kizazi cha nyoka, kizazi cha mafisadi kizazi , hatari kwa maendeleo ya Taifa.
 
ameruhusiwa na makamba?????????? Au kwa sababu ni baba yake! Otherwise wakuu naona tusubiri huyu dogo akishaingia huko mjengoni je atafanya nini???????

Masha's hangovers bado hazijaisha!!!!!!!

amen!
 
But you know that's not a good look, right? Unless you tell me it was medically necessary but anything outside of that is definitely not a good look.

Uzalendo uko wapi? Na mtoto azaliwe Nyamwezi ili iweje? awe raia siyo? Ili baadae asome kwenye shule za US siyo?

Kwa wakati huo huo mnagombea nafasi za kisiasa mkihubiri uzalendo na mapenzi kwa nchi yenu. WTF????!!!!!

Look at it this way; Mtoto akifundishwa vizuri uzalendo mwache akasome bure unyamwezini. Atarudisha elimu/ujuzi kutoka huko unyamwezini na kuleta changamoto bongo. That is what the Brazilians and Chinese have been doing. Check out the news, America is overburden by industrial espionage cases that involve Chinese in America!
 
Hivi huyu Januari ana "akili" kiasi gani? Maana kila jina lake litajwapo mara nyingi lazima liendane na neno "akili".

Mimi mbona namwona wa kawaida tu. Alichofanya chenye "akili" ni kipi haswa? Na hizo "akili" zake mnazipimaje?

Najua amesomea Marekani kwa mujibu wake yeye mwenyewe. Je alihitimu na heshima gani? Summa Cum Laude? Magna Cum Laude?

Eti ana "akili". Watu bana...

Mkubwa umenena vema kabisa, Huyu bwana amekuwa akibebwa na baba yake Tangu amalize kidato cha SITA, japo hata kubali kukiri hilo,, alipomaliza kidato cha sita Morogoro alienda kigoma kufanya kazi kwenye kambi za wakimbizi, na ukumbuke mchongo wa hiyo kazi alimpa YUSUFU MAKAMBA baba mtu, Kipindi hicho Baba yake alikuwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma,,alipokuwa huko nda alipata fursa ya kwenda huko anakodai marekani kusoma

Aliporudi anasema aliajiriwa Wizara ya mambo ya Nje,, kwenye mchakato wa ajira yake JE UTARATIBU ULIFUATWA??? walitangaza kazi akaomba? wenye akili tunajua alichomekwa,na ikumbukwa BABA yake alikuwa Rais wa DSM(Mkuu wa mkoa)

Uswahiba wa baba yake na Kikwete ndo ulimfanya apewe mchongo wa usaidizi wa mheshimiwa japo yeye anasema aliombwa. Sasa hivi Mzee wake anamsaidia kupata Ubunge,, na baadae atapewa unaibu wa wizara then Uwaziri kamili,,ndio siasa za Tanzania zilivyo sasa

Naamini kama utaratibu ungekuwepo na kufuatwa wapo watanzania wengi wenye uwezo kuliko huyu bwana, ashukuru tu amefika hapo alipo kwa msaada wa kubebwa
 
January Makamba means nothing kwa wananchi maskini wa Lushoto waliodanganywa maisha bora na JK wameishia ktk bora maisha, ametumia mgongo wao kupanda kisiasa na kupata madaraka thn akimaliza anawatupa kama tunavyoifanyia mbaya ile kinga ya ukimwai, tunaitumia inatukinga halafu tunaitupa ******.... ndo inawakuta wana bumburi na sehemu zingine wanakojikomba kwa watoto wa vigogo. Hivi hamjiulizi zile bilioni saba alizochangisha baba yake jumapili zilitoka wapi? Mbona waliochangia huwa hatuwaoni kwenye michango ya mashule, vyuo na zahanati ambazo ni silaha za watoto wa maskini, wanachangia CCM tu wakati wa uchaguzi? Au mmesahau ule usemi wa wazungu... like father, like son. Its just another fisadi in the making and anatakiwa kuwa deleted ktk siasa za nchi hii very quickly, kabla hajaanza kutuuma.
 
Here is my take;

Yes we need to change our social-economical situation, but joining a corrupt organization does not a show a commitment to bring about that change. So while he may be thinking outside the box, his continued affiliation with this said party can be seen as him being nothing more than an opportunist.

There is nothing wrong with having political ambitions, but don't tell me "you are going to change things" when at the same time you have the audacity to say: CCM Oyee!

And for him being smart; give me a break! Give me the platform and a mike and I will bring you countless Wazawa who have been frustrated and submerge by the system...

There got to be a better way!


Disclaimer: I do not belong to any party, but if I was around during the independence struggle, I would have been a Mao Mao, or a member of PAC (Pan Africanist Congress)!
 
Let me be the devils advocate here:

If i am reading this correctly, it seems that the constitution does not specify exactly what should take place kama vyama vingine havita register majina ya wagombeaji wao on time. If this is correct, then kupitishwa kwa kijana huyu bila direct voting is neither constitutional nor it is unconstitutional.

May be what should have happened is for kamati ya uchaguzi (or whatever it is called) to sit down and decide what should have proceed before making the decision. Come to think of it, that should have been the right thing to do. But how independent is this kamati, is another question!!?

Now that this has come to light and wananchi wanaona ni utata, one would hope that a constitutional amendment follows, if indeed this issue was never clarified in the first place.
 
Mhhh naona ma land cruiser ya UWT. Nimeona T 350 AJL. lilikuwa lina kazi kwenye Mbio za January na CCM.? kweli binadamu wote si sawa.
 
Wengi mnazungumzia Bumbuli au Lushoto pasipo kufahamu sehemu hizi mbili. Kwa bahati nilipokuja Tanzania nilipata bahati ya kwenda sehemu hizi zote ambazo pia kwa bahati wazazi wangu wametoka sehemu hizi. Ukweli ni kwamba wanakijiji wa sehemu hizi wana very complex situation ambayo inaitaji mtu mwenye vision and smart mission ili kusaidia kutatua baadhi ya matatizo.

Labda nizungumzie Bumbuli, sababu ni hasa inayo husika na mada hii. Bumbuli ni moja ya sehemu za Tanzania inayozalisha Chai, na chai ni moja la zao ambalo linasoko sana duniani. Lakini cha kushangaza ni kwamba wakazi wa Bumbuli wana hali duni sana. Nimapema sana kusema January anayo dawa ya tatizo hili moja, lakini ukweli ni kwamba ana muono mbadala ambao kama atakaa chini na wanakijiji basi wanaweza kutafuta dawa ya tatizo hili.

January kama atasimama na kupendekeza yale ambayo amekuwa akiyaamini kwa miaka mingi, basi ni wazi kabisa Bumbuli na Tanzania zitaweza kupata matunda ya mwananchi wao. Siwezi kutabiri nini atafanya, lakini naweza kuzungumzia kwa uchache vile nimjuavyo either kuanzia kule youngafrican.com au mpaka hapa Jambo Forum, January ni mtu ambae anakubali kusikiliza pande zote za shillingi, iwe supporter au critics. Na kama atatumia mfumo huo huo hata kuongoza Bumbuli basi ni wazi kabisa wanakijiji wa Bumbuli watakuwa kwa mara ya kwanza wamepata tiba ya kiu chao cha maendeleo.

Until then the jury is still out.
 
Let me be the devils advocate here:

If i am reading this correctly, it seems that the constitution does not specify exactly what should take place kama vyama vingine havita register majina ya wagombeaji wao on time. If this is correct, then kupitishwa kwa kijana huyu bila direct voting is neither constitutional nor it is unconstitutional.


May be what should have happened is for kamati ya uchaguzi (or whatever it is called) to sit down and decide what should have proceed before making the decision. Come to think of it, that should have been the right thing to do. But how independent is this kamati, is another question!!?

Now that this has come to light and wananchi wanaona ni utata, one would hope that a constitutional amendment follows, if indeed this issue was never clarified in the first place.

PlancScale,

Kwangu mimi katiba katika ibara ya 66 imeainisha vizuri wabunge wanapatikana vipi, na hii habari ya kupitishwa bila kupingwa haipo katika jinsi za watu wanavyopata ubunge katika katiba yetu.Na Ukisema "neither constitutional nor unconstitutional" kwa maana ya kwamba haijawa defined nitakubali, lakini mimi napenda ku err kwenye side ya caution katika mambo kama haya.Nafahamu si lazima sheria na miongozo mingine iwe katika katiba, katiba inatakiwa kuwa a lean primary document. At the same time, katiba si document ya ku diverge from na kuanza ku introduce vitu ambavyo havimo ndani yake, ni document ya kutoa mwongozo, sheria zote nyingine zi converge towards katiba, na kama kuna kitu hakikuonwa mwanzo, mabadiliko yafanyike au kingine chochote ilimradi kisifanyike kitu ambacho hakipo katika katiba.

Kama jambo halijaruhusiwa kikatiba kwangu mimi ni sawa na limekatazwa, kwa sababu utajuaje kwamba halijakatazwa wakati hujaona kama limeruhusiwa ? Sheria mara nyingi huweza kueleweka vizuri zaidi tukichukua "the spirit of the law" rather than "the letter of the law". Na tukiangalia spirit ya sheria ya kikatiba kuainisha kwamba wabunge watapigiwa kura na wananchi, tunaona kwamba spirit ni kudumisha demokrasia ya wananchi kujiamulia wenyewe viongozi wao, sasa huyu mbunge atakayepitishwa tu bila kupigiwa kura na wananchi uwakilishi wake una uhalali kweli ?

Hii sheria ukiiangalia sana ina mizizi katika "demokrasia" ya chama kimoja, ambako scenario ya chama kimoja, hakuna mgombea binafsi na hakuna watu wawili wa kushindania kiti ilifanya chama kwa hatamu zake kiamue kumpitisha mtu tu. Lakini leo the stakes are higher. Hata kama wapinzani hawatakuwa na mgombea najiuliza hili swala lita set precedents gani? Matajiri si watahonga wapinzani wao tu na kuingia bungeni bila hata kupigiwa kura na wananchi ?

Mimi ningependa kuona kura ya "NDIYO/ HAPANA" na wananchi wanapata nafasi ya kumchagua mbunge wao, hata kama ni kuhakikisha mbunge anakamilisha matakwa ya katiba tu.

CCM wameweka mabango yanayomsema January Makamba kuwa ni "Chaguo Letu" for sure CCM ni chaguo lao, kashinda kura zao za maoni.Lakini kama hakutakuwa na kura ya "NDIYO/ HAPANA" Bumbuli wananchi wasio wanachama wa CCM Bumbuli wataikosa haki hii ya kmchagua na kusema chaguo letu (assuming wanataka kufanya hivyo0 na hata January mwenyewe atakosa haki yake ya kimsingi ya kuchaguliwa na wananchi.

Wanasema kitanda hakizai haramu, lakini process yetu itatupa a bastardized MP, unnecessarily ukizingatia vielelezo vyote vinaonyesha angepigiwa kura angeweza hata kupata ushindi mkubwa tu, pengine hata kushinda alioupata katika CCM primaries.
 
... Na tukiangalia spirit ya sheria ya kikatiba kuainisha kwamba wabunge watapigiwa kura na wananchi, tunaona kwamba spirit ni kudumisha demokrasia ya wananchi kujiamulia wenyewe viongozi wao, sasa huyu mbunge atakayepitishwa tu bila kupigiwa kura na wananchi uwakilishi wake una uhalali kweli ?.....

You are a right!

...Na kwamba utata ukitokea, the solution should seek to make sure that the democratic rights of the citizens are upheld. In this case it means that a solution should have been sought whereby the citizens would still have a chance to vote, and that the lone candidate must still be subjected to voting before being declared mbunge.

You have made a subtle, but a very important point...I had overlooked it.
 
Back
Top Bottom