Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.