Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
NAKAZIAOption ni moja tu;ACHANA NAE
Hiyo ya pili ni kwa ajili ya mabwege kwa kiingereza tunawaita SIMPS.
Malaya huwa hasamehewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAOption ni moja tu;ACHANA NAE
Hiyo ya pili ni kwa ajili ya mabwege kwa kiingereza tunawaita SIMPS.
Inasikitisha mnounamsamehe na kurudiana na mwanamke aliyekuchiti
kuna wanaume wanatuangusha sana, blalifuuu...........
Mkeo katatuliwa Malinda mara kadhaa unaishi ndani ya msamaha?hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Acha naye Kimya kimya, ukimpiga anaweza kukushitaki na kukushinda kisheria.Kweli umuache au umsamehe bure bure tu bila hata mkong'oto?
MsameheMkeo katatuliwa Malinda mara kadhaa unaishi ndani ya msamaha?
Hivi unaelewa maana ya kuliwa' kiboga?Msamehe
Basi ndoa ni gereza na ni kwajil ya Majasiri tu.Acha naye Kimya kimya, ukimpiga anaweza kukushitaki na kukushinda kisheria.
Hata kama kaliwa kiboga, msamehe tu.Hivi unaelewa maana ya kuliwa' kiboga?
Waliooa wote ni majasiri, Ila wapo wasio majasiri nao wameoa.Basi ndoa ni gereza na ni kwajil ya Majasiri tu.
Hyo option ya pili ulochukua HAIJAWAHI kumwacha mtu salama kiriho wala kimwil had kifo.....hasa kwa ss wanaume..........na huyo ni option ya Simps zao la Oneitis...................solution ni African polygamous culture1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima.
Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke mwenye moyo kama wa yule utakayemuacha.
2. MSAMEHE mkeo kisha tafuta mtaalam wa kukusaidia kushughulika kuponya maumivu yako.
Weka mkakati wa namna bora ya kukusaidia usiingie katika mahusiano mapya.
Leeni watoto wenu pamoja hata kama mu wanandoa mliochana.
Vile utakavyo amua ni chaguo, huyo mwanamke ni mkeo ulimpenda ukamuoa, ni chaguo lako.
Kwa upande wangu binafsi ningechagua njia ya MSAMAHA kwa sababu mimi ni zao la msamaha. Yesu mwenyewe alisisitiza MSAMAHA 7×70 na wala hakusisitiza talaka, hivyo mie ninaishi ndani ya msamaha.
Pamoja na kumsamehe lakini ikitokea akaendeleza - maisha ya uzinzi - udanganyifu wa kudumu - hapo nitamwangusha kama kizazi cha moto. Lakini sitavunja ndoa yangu kwa sababu ya wingu linalopita.
Tafadhali usiue wala usijiue kwa sababu ya mkeo kukucheat bali chagua hatua mojawapo kati ya hizo mbili nilizozitaja.
Ubarikiwe.
Kama ww nduguWaliooa wote ni majasiri, Ila wapo wasio majasiri nao wameoa.
Na wewe sio jasiri?Kama ww ndugu
Mm ni jasiri nduguNa wewe sio jasiri?
Ndo hawa wanaotia hurumaWaliooa wote ni majasiri, Ila wapo wasio majasiri nao wameoa.