Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupata kujua kama Chadema ni maarufu na muhimu kiasi hiki kuanzia ngazi ya chini hadi pale Chaguzi za viongozi wa kanda zilipoanza.
Ni ajabu kuwa chaguzi hizo zimefuatiliwa kwa ukaribu sana na nchi nzima, hasa ccm imeonyesha kuwa inaangalia kwa ukaribu sana kuliko hata Chadema wenyewe.
Nina hakika kwa sasa viongozi wakuu wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti wao Rais Magufuli wanajua kila kanda mwenyekiti na makamu ni nani na hata idadi ya kura walizopata. Pia watu wao walio wachomeka wameangukaje.
Hii ni ishara kuwa Chadema ni chama kikubwa na tishio kwa watawala na wanauwezo wa kuwatoa madarakani CCM kama uchaguzi wa haki na huru.
Uchafuzi uko ccm mnaoshinda bila kupingwa.Hivi ni uchaguzi au uchafuzi?
Siku ikifikia Chadema ina watu zumbukuku wa aina yako ujue ugunduzi wa binadamu kutaga mayai umekaribia.
Ina maana ndani ya miaka 30 katika wanachama wote wa chadema hakuna mwanachama tofauti hata mmoja wa kufanya kazi ya mbowe? Kama hamna utaratibu wa kupokezana madaraka madogo ndani ya chama, mtakua nao mkishika madaraka makubwa ya nchi?Unamdhalilisha msajiri wa vyama aliye teuliwa na Rais.kumbe aliteuliwa kwaajili ya kusajiri viccoba
Msomi ni mbowe tu hakuna mwenye uwezo kumzidi, huu ni mwaka wa 30Kwahiyo wanachama wenu ni wasomi tu
Msomi ni mbowe tu hakuna mwenye uwezo kumzidi, huu ni mwaka wa 30
Wameshindwa kumtoa mbowe madarakani miaka yote hii chamani halafu wanaota kuitoa ccmHii hatari tumuachie chama tu
Ona unavyo zidi kujishusha. Kuna tofauti ya usomi na uelewa.Kwahiyo wanachama wenu ni wasomi tu
Hivi huko shule mnaenda kusomea nini? (By FaizaFoxy)Ina maana ndani ya miaka 30 katika wanachama wote wa chadema hakuna mwanachama tofauti hata mmoja wa kufanya kazi ya mbowe? Kama hamna utaratibu wa kupokezana madaraka madogo ndani ya chama, mtakua nao mkishika madaraka makubwa ya nchi?
Yaani ninyi kwenye democracy hamna la kuwashauri watanzania kabisa sababu democracy kwenu haipo