Chaguzi za TLS

Chaguzi za TLS

Ki
dah: 99%, yangalikuwa mengi ya majina ni Abdul , tungaliona comments nyingi hapa: Living long to see many things, the best scholar is the one who looks far ahead
Kina Abdul kama wana uwezo watagombea na watashinda kumbuka kinachogombea urais wa mawakili sio usheiskh na uchungaji
 
Unazungumzia historia ya 1989 uliofundishwa primary school

..waasisi 17 wa Tanu hakuna anayepinga historia hiyo.

..hata Mohamed Said sijawahi kumsikia akiwapinga wale waasisi wanaotajwa kuanzisha Tanu.

..Na waasisi hao walikuwa Wazalendo toka kila pembe ya Tanganyika.

..Zaidi, Mohamed Said hajawahi kusema kwamba watu wa bara ya Tanganyika hawakushiriki kudai uhuru, bali amedai kwamba historia ya Waislamu walioshiriki harakati za uhuru ilifichwa.
 
Hivi siku hizi zile chaguzi za TLS zipo kweli?

Kulikoni?

Manake kipindi cha Rais Magufuli kuna watu walijitoa fahamu na kujaribu kutuaminisha kwamba chaguzi za hicho chama na Rais wake walikuwa na umuhimu sana kwenye mambo yahusuyo nchi.

Tuliokuwa na utulivu wa hisia tuliwaambia hao watu kwamba, TLS haina nguvu yoyote ile iliyo ya maana kwenye uendeshaji wa nchi.

Kila hao TLS walipofanya viuchaguzi vyao, maadui wachache wa Rais Magufuli walipiga mayowe humu mitandaoni kama hawana akili nzuri vile.

Sasa siku hizi imekuwaje tena? Pepsi imeishiwa gęsi au namna gani wajameni?

TLS ipo kweli?
TLS imegeuka Jumuia ya CCM ipo kuitetea ccm badala ya kutetea Katiba na Sheria mbalimbali.Niliamini TLS ingekuwa Mstari wa Mbele kuipigania Katiba Mpya kwani Katiba iliyopo imepitwa na Wakati Mambo mengi yamebadilika ktk Maisha ya Wananchi
Sheria nyingi zimekuwa Kandamizi kwa sasa tofauti na kipindi cha nyuma Rais amekuwa MUNGU MTU badala ya kuwa Kiongozi.Lakini TLS ipo KIMYA Kama vile Katiba Mpya haiwahusu.
 
TLS imegeuka Jumuia ya CCM ipo kuitetea ccm badala ya kutetea Katiba na Sheria mbalimbali.Niliamini TLS ingekuwa Mstari wa Mbele kuipigania Katiba Mpya kwani Katiba iliyopo imepitwa na Wakati Mambo mengi yamebadilika ktk Maisha ya Wananchi
Sheria nyingi zimekuwa Kandamizi kwa sasa tofauti na kipindi cha nyuma Rais amekuwa MUNGU MTU badala ya kuwa Kiongozi.Lakini TLS ipo KIMYA Kama vile Katiba Mpya haiwahusu.

..sasa hivi TLS wanaendesha makongamano ya katiba mpya ktk kanda zao.
 
Hivi siku hizi zile chaguzi za TLS zipo kweli?

Kulikoni?

Manake kipindi cha Rais Magufuli kuna watu walijitoa fahamu na kujaribu kutuaminisha kwamba chaguzi za hicho chama na Rais wake walikuwa na umuhimu sana kwenye mambo yahusuyo nchi.

Tuliokuwa na utulivu wa hisia tuliwaambia hao watu kwamba, TLS haina nguvu yoyote ile iliyo ya maana kwenye uendeshaji wa nchi.

Kila hao TLS walipofanya viuchaguzi vyao, maadui wachache wa Rais Magufuli walipiga mayowe humu mitandaoni kama hawana akili nzuri vile.

Sasa siku hizi imekuwaje tena? Pepsi imeishiwa gęsi au namna gani wajameni?

TLS ipo kweli?
Leo unapalilia kaburi?! Maana na wewe umekufa kiroho, japo unajiona unaishi
 
Wa

Wakilli msomi Paulo kaunda yupo vizuri huyu classmate
Pamoja na uwepo wa majina hayo, nafasi nyingi bado zilikua wazi kwa mawakili kutowasilisha fomu kwa tarehe ya ukomo, ambayo ilikua ni 28.05.2024 hivyo TLS imeongeza muda kwa mawakili wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na hiyo ya Rais na Makamu wa Rais kuwasilisha fomu zao.

Muda umeongezwa kwa siku 7, siku ya mwisho kuwakilisha fomu za kugombea ni tarehe 06.06.2024. Kwa hiyo kunaweza kuwa na ongezeko la wagombea katika nafasi hizo kubwa za Rais na Makamu wa Rais.
 
Wakati wa Magu TLS walikuwa wanajipa umuhimu wasiokuwa nao kuliko majukumu yao. Kulikuwa na msukumo wa nimekuchokoza tuone sasa utafanya nini ili tu wapate kusukuma hoja iliyokuwa kwapani. Wale marais wao wawili walikuja na ajenda zao binafsi. Sasa hivi sasa akili zishajirudi wako katika majukumu yao ya kawaida kama vilivyo vyama vingine vya wanataaluma.
 
Uchaguzi utafanyika Jijini Dodoma kwenye mkutano mkuu wa TLS utaofanyika tarehe 31.07.2024 mpaka tarehe 03.08.2024.

Wanaogombea nafasi ya RAIS wa TLS ni mawakili wafuatao:
1. BONIFACE A.K. MWABUKUSI (MBEYA)
2. EMMANUEL AUGUSTINO MUGA (ILALA)
3. REVOCATUS LUBIGILI KIBWE KUULI (MZIZIMA)
4. PAUL REVOCATUS KAUNDA (WESTERN ZONE)


Wanaogombea nafasi ya MAKAMU RAIS wa TLS ni mawakili:
1. AZIZA OMARI MSANGI (ILALA)
2. LAETITIA PETRO NTAGAZWA (IRINGA)
Asante kwa ufafanuzi huu
 
..Tanu ilikuwa na wazalendo toka kila pembe ya Tanganyika, sio Pwani peke yake.

..nenda kaangalie waasisi wa Tanu wale 17 ni watu wa wapi.

..kuna kipindi wakati wa kudai uhuru 66% ya fedha za kuendesha Tanu zilikuwa zinatoka eneo fulani sio Pwani.
Mfadhili mkubwa wa TANU alikuwa msukuma.

Amandla...
 
Hivi siku hizi zile chaguzi za TLS zipo kweli?

Kulikoni?

Manake kipindi cha Rais Magufuli kuna watu walijitoa fahamu na kujaribu kutuaminisha kwamba chaguzi za hicho chama na Rais wake walikuwa na umuhimu sana kwenye mambo yahusuyo nchi.

Tuliokuwa na utulivu wa hisia tuliwaambia hao watu kwamba, TLS haina nguvu yoyote ile iliyo ya maana kwenye uendeshaji wa nchi.

Kila hao TLS walipofanya viuchaguzi vyao, maadui wachache wa Rais Magufuli walipiga mayowe humu mitandaoni kama hawana akili nzuri vile.

Sasa siku hizi imekuwaje tena? Pepsi imeishiwa gęsi au namna gani wajameni?

TLS ipo kweli?
🙄🙄🤔
 
..Rais mmoja wa TLS alicharangwa risasi utadhani ni ndovu.

..Rais aliyefuatia wa TLS ofisi yake iliwahi kulipuliwa kwa bomu la kivita.

..Matukio hayo yalitokea wakati wa utawala wa Jpm.

..WHY?
Mkuu umeuliza maswali muhimu sana, yajibiwe na mtoa hoja!
 
Back
Top Bottom