Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Hakika uchaguzi za serekali za mitaa wengi tunafahamiana na nathubutu kusema chaguzi hizi ni "" tega nikutege, mwiba!""
Bwana mmoja katika mtaa wangu, ambaye tunafahamu kweli namaanisha in and out!, katika kugombea kwa tiketi to chama fulani, kwenye kazi akajijazia katika form kama mfanyabiashara, ilihali sisi wanakitaa tunafahamu ni mtu mchezo bao, na kupiga virungu kwa wingi, maana hampiti mtu bila kuomba chochote ikiwa hauna kabisa basi atakulazimisha umnunulie japo sigireti, hakika suala la maelfu kuenguliwa lina msingi mkuu si bure, watanzania wanawajua vyema!
Alamsiki.
Bwana mmoja katika mtaa wangu, ambaye tunafahamu kweli namaanisha in and out!, katika kugombea kwa tiketi to chama fulani, kwenye kazi akajijazia katika form kama mfanyabiashara, ilihali sisi wanakitaa tunafahamu ni mtu mchezo bao, na kupiga virungu kwa wingi, maana hampiti mtu bila kuomba chochote ikiwa hauna kabisa basi atakulazimisha umnunulie japo sigireti, hakika suala la maelfu kuenguliwa lina msingi mkuu si bure, watanzania wanawajua vyema!
Alamsiki.