Chai na Chapati mbili

MBONA MM JUZI TU NIMELIPIA WAMEANZA LINI HAWA KUTOA BURE
Rekebisha kauli
 
Labda kwa sababu ngano ya chapati inashibisha sana kwa hiyo anasikilizia pumzi yake...


Ila mimi chapati mbili hazinitoshi...


Cc: mahondaw
 
Aisee ni hivi, kuna kipindi watu walizoea kuniona hapo juu thread ikifunguliwa tu naanza kujibu ndio ikawa mazoea... Wewe usijali mkuu ukipata nafasi changia uwezavyo hiyo nafas sio yangu ni kwa mtu yeyote hapa JF
My sweet kaka [emoji137]
 
makadirio ya chini ni 5+ hapo ndio naanzia

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Huyu jamaa anaongea nn? Nilipokua mgodini, nilikua napiga chapati 6 na supu bakuli kubwa na sambusa 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…