CHAKUHAWATA chaendelea kusajili idadi kubwa ya wanachama

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Hatmaye Chama Cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) chazidi kushika kasi kwa kuongeza idadi ya wanachama, wengi wao wakiwa ni wale wanaohama kutoka CWT.

Wilayani Butiama mkoani Mara kumekuwa na kasi kubwa ya uhitaji na ujazaji wa fomu za kujitoa kwenye chama chao cha awali (Chama Cha Walimu Tanzania _CWT).

Swali ni je, inawezekana haya ni mabadiliko ya kifikra miongoni mwa walimu au wanafuata unafuu wa makato?

Je, huu ni mwisho wa CWT? Unaambiwa kuwa kuna baadhi ya shule walimu wote wamehamia CHAKUHAWATA!
 
CWT they nolonger represent walim, the represent something else, sonsishangai waliku kuhama. Wamechoka
 
Hiki ndio chama kimeanzishwa na waalimu walioko Chadema? Ndio serikali ikate hela za waalimu kukipa chama cha waalimu wanachadema? Never, waokoteze michango huko, CWT ndio mambo yote
 
Hiki ndio chama kimeanzishwa na waalimu walioko Chadema? Ndio serikali ikate hela za waalimu kukipa chama cha waalimu wanachadema? Never, waokoteze michango huko, CWT ndio mambo yote
nani kasema ni cha chadema, cha chochote cha walimu hakitakiwi kufungamana na siasa za upande wowote. Is why ni chama cha walimu si walimu wa chadema au ccm
 
Chama Cha wanataaluma kinachojielewa ni chama Cha wanasheria peke yake chini ya rais wa Tanzania mwambukusi.chama Cha walimu ni chama Cha kuwachamgia pesa viongozi wa hicho chama na siyo manufaa ya walimu
 
Hiki ndio chama kimeanzishwa na waalimu walioko Chadema? Ndio serikali ikate hela za waalimu kukipa chama cha waalimu wanachadema? Never, waokoteze michango huko, CWT ndio mambo yote
Unapindwa mchana kweupeeee bila kilainishi
 
Ni makato tu.

Ila kwasababu CWT ni deal ya machatu makubwa, aidha yatawazuia kuhamia, yatawakata pote au yatahamia huko kwingine na kuanza kukata 2% ile ile
 
Mkuu uko Butiama sehemu gani?
 
Hiki ndio chama kimeanzishwa na waalimu walioko Chadema? Ndio serikali ikate hela za waalimu kukipa chama cha waalimu wanachadema? Never, waokoteze michango huko, CWT ndio mambo yote
Bora hata mara mia kikafungamana na CHADEMA kuliko nyinyi ma ccm majizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…