Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
Moshi wake sio wa moto mkuuAcha ganja kwanza hio nayo ni ya moto
Kama ni hivyo tu hamna shidaUlimi na meno na kinywa kwa ujumla ndio vinaumia kama chakula nincha moto mkali.
Usiogope mkuu tumbo lina heka heka nyingi.Kama ni hivyo tu hamna shida
Naogopa zaidi zaidi viungo vya ndani
ahahahah eti blenderUsiogope mkuu tumbo lina heka heka nyingi.
Hushangai unakula mapande ya nyama kesho yake unaendesha.
Hivi unajua tumbo lako lina blender 😂
Ila niwewe tu wengine hatuna😂.
Chakula cha moto kina madhara gani mwilini?
Nikimaanisha ni viungo gani vinaathirika?
Nimemaanisha chakula kilichoipuliwa jikoni moja kwa moja kikapelekwa mezani na kuanza kuliwaSijakuelewa! Unawezaje kumeza chakula Cha moto?
Jaribu kunyuwa chai Kama unavyokunywa maji halafu kesho utupe Majibu mkuu
kwel ganja dawaChakula cha moto kina madhara gani mwilini?
Nikimaanisha ni viungo gani vinaathirika?