Chakula cha msaada kisitengeneze pombe za kienyeji

CHUKURUMA

New Member
Joined
Apr 18, 2019
Posts
3
Reaction score
0
Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mbaraka Batenga, ameonya baadhi ya wananchi wilahaji humo wanaotumia nafaka kutengeneza pombe kuwa waache mara moja kwani atawakamata

Batenga ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Dosidosi, Orkine na Magungu Aprili 5.2023

Amesema kama kuna mtu anataka kunywa pombe akanunue za dukani lakini asihangaike na zile zinazopikwa kienyeji kwa kutumia nafaka

"Afisa Tarafa, Mtendaji wa Kata na Kijiji hakikisheni atakayepika pombe kwa kutumia nafaka akamatwe na afikishwe mahakamani"

Kuna chakula cha msaada kinachotolewa na Serikali naagiza atakayetumia mahindi hayo kupiki pombe akamatwe alisema DC Batenga.

 
Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mbaraka Batenga, ameonya baadhi ya wananchi wilahaji humo wanaotumia nafaka kutengeneza pombe kuwa waache mara moja kwani atawakamata

Batenga ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Dosidosi, Orkine na Magungu Aprili 5.2023

Amesema kama kuna mtu anataka kunywa pombe akanunue za dukani lakini asihangaike na zile zinazopikwa kienyeji kwa kutumia nafaka

"Afisa Tarafa, Mtendaji wa Kata na Kijiji hakikisheni atakayepika pombe kwa kutumia nafaka akamatwe na afikishwe mahakamani"

Kuna chakula cha msaada kinachotolewa na Serikali naagiza atakayetumia mahindi hayo kupiki pombe akamatwe alisema DC Batenga.
 
Watumie nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…