[emoji23] [emoji23] [emoji23] my dear nashukuru kwa kung'amua kuwa nimeomba mwaliko kijanja lakini bado sijakaribishwa. Naomba unielekeze namna ya kupika biriani ili nipambane tu na hali yangu!Unasema ukweli hiyo juice au unatania?? lol
Kuhusu chakula me naona ni vema ule chakula ukipendacho maana hapa watu watalutakia vyakula wapendavyo wao labda wewe hupendi... swali lako ungelileta kua kuna chakula flani unataka kupika ila huwezi hivyo unaombwa kuelekezwa.
Ila sijui kwanini nimeitazama post yako kwa jicho la tatu ipo kama inayoomba mwaliko vile hehehehe.
Wisdom will kill me walai.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] my dear nashukuru kwa kung'amua kuwa nimeomba mwaliko kijanja lakinu bado sijakaribishwa. Naomba unielekeze namna ya kupika biriani ili nipambane tu na hali yangu!Unasema ukweli hiyo juice au unatania?? lol
Kuhusu chakula me naona ni vema ule chakula ukipendacho maana hapa watu watalutakia vyakula wapendavyo wao labda wewe hupendi... swali lako ungelileta kua kuna chakula flani unataka kupika ila huwezi hivyo unaombwa kuelekezwa.
Ila sijui kwanini nimeitazama post yako kwa jicho la tatu ipo kama inayoomba mwaliko vile hehehehe.
Wisdom will kill me walai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Karibu kwangu ule mama. Nimepika kuku wa kukaanga nyama roast wali pilau na viazi vya kukaanga. Ila naenda kula kwa kigogo ntakusindikiza na picha wakati ukinywa juice yako ya kuongeza nguvu za kike. [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuanze na hiki.Asante dear! Ngoja nijisogeze pande zako ili nije kufaidi hilo pilau.
Ebu kwanza, unaenda kula kwa kigogo yupi cepholacaudo / Mr Miller au nani? [emoji12]
Wow! Ushanitia njaa mwenzio [emoji39] [emoji39] [emoji39] ila kwa kuwa kabila langu linaniruhusu wacha tu nile kwa picha [emoji12]Tuanze na hiki.
Kigogo mwingine sio shemeji zako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 731180
Mimi naomba nijialike.Tuanze na hiki.
Kigogo mwingine sio shemeji zako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 731180
Bado sijakutia njaa vizuri mama kuwa mpole [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wow! Ushanitia njaa mwenzio [emoji39] [emoji39] [emoji39] ila kwa kuwa kabila langu linaniruhusu wacha tu nile kwa picha [emoji12]
Hahahahaaa. Karibu mkuuMimi naomba nijialike.
Siku kama hii sio ya kula Restaurant.
Vinywaji juu yangu