Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Heri ya Pasaka wana JF
Nimezoea miaka yote siku za sikukuu kama hizi naalikwa na ndugu,jamaa na marafiki kwenda kula nao sikukuu ila hali imekuwa tofauti pasaka hii, mpaka sasa sijapata mwaliko wowote....
Naombeni mnishauri na mnifundishe chakula gani kizuri nitakachoweza kupika/kuandaa na kuifurahia sikukuu.
Kinywaji niameamua kuandaa juice yenye mchanganyiko wa maziwa, maembe, pasheni, parachichi, ukwaju na asali.
Nimezoea miaka yote siku za sikukuu kama hizi naalikwa na ndugu,jamaa na marafiki kwenda kula nao sikukuu ila hali imekuwa tofauti pasaka hii, mpaka sasa sijapata mwaliko wowote....
Naombeni mnishauri na mnifundishe chakula gani kizuri nitakachoweza kupika/kuandaa na kuifurahia sikukuu.
Kinywaji niameamua kuandaa juice yenye mchanganyiko wa maziwa, maembe, pasheni, parachichi, ukwaju na asali.