Chakula cha ubongo: Duniani hakuna lolote liliwahi kuumbwa, yote unayoyaona ni uhalisia tulioutengeneza sisi

third eye chakra

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
713
Reaction score
1,745
UKWELI / UHALISIA..๐Ÿง˜๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿง˜๐Ÿพโ€โ™€๏ธ

๐ŸŽˆUkweli ni ukamilifu usiotegemea umbo Wala Hali Wala sababu katika kujizihilisha kwake..Ukweli ni kuwa hukuwahi kuzaliwa Wala hayo yote ulio nayo hayapo..ila uhalisia ni kuwa ulizaliwa na haya ulio nayo yapo ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.

โš–๏ธUhalisia ndio unao leta maana katika Maisha.. yaani maisha yakaleta maana na furaha...

๐Ÿ”Šuhalisia unaumbwa na matukio mbali mbali, maumbile mbali mbali, na Hali tofauti tofauti....

๐Ÿ‘‰Ukweli ni mmoja tuu!!! Ila uhalisia upo wa kila Aina....

๐Ÿ—ฃ๏ธLENGO la kupata UTAMBUZI SI ku UJUA ukweli tuu.. Bali kujua sisi ndio huo ukweli wenyewe!!!

๐ŸŒNyuma ya uhalisia huu wa hii vurugumechi ya hapa Duniani Kuna Ukweli ambao ndio wewe!!! Wewe ndio huo ukweli wenyewe..ukweli huo ndio Mungu Mwenyewe!!

๐Ÿ—ฃ๏ธNi muhimu kuu ujue ukweli ili kung'amua movie hili la maumbile na matukio wanayo tumia wachache kujinufaisha pia linalo tutesa sisi wenyewe ..

๐ŸŒUkweli Ni kuwa Duniani Hakuna lolote. Wala Hakuna lolote liliwahi kuumbwa. linalo onekana Kama Hali au vitu na yote unayo yaona ni uhalisia tulo utengeneza sisi...๐Ÿค”

๐Ÿ—ฃ๏ธHata, Magonjwa, utajiri au umasikini vipo kwakua tume taka viwepo ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

โšฐ๏ธ๐ŸงŸโ€โ™‚๏ธEti unasikia mtu Kamua mtu Mwingine kwa uchawi.. pale alicho fanya ni mazingaombwe Yale Yale!!!

๐Ÿ‘‰Ndio maana Kuna usemi unasema Hakuna lisilo wezekana maana yote yapo kwakua tumetaka yawepo..

๐ŸŽทUTAMBUZI Ni Mwanga utakao kumulikia haya yote....๐Ÿ”…๐Ÿ”…๐Ÿ”…๐Ÿง˜๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿง˜๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿง˜๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Mlioelewa tutafunieni sie memkwa.....nimetoka kapa!
 
Yesu ndo kila kitu. BILA YESU YOTE NI BURE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ