Chakula cha wanasayansi nje ya dunia

haha m-bongo asipopata kaharufu ka mkaango anahasi hajala bado . . wenzetu hao wamewekeza kwenye hayo mambo yupo ladhi hata kuiacha familia yake mwaka mzima ili afanye kazi

Kama unagonga vyombo "ulabu"inakuaje.
 
Kama anaweza kitengeneza msosi kwenye vidonge ukimeza tu uko vizuri. Watutengenezee bidonge vya mboga ya kisamvu na majani ya maboga, ingesaidia sana kuokoa muda wa kupika. Ugali wako wa nusu kilo unameza na vidonge vya kisamvu vitatu swaaafi kabisa.
 
Usiombe ushauri au kuuliza swali siku mbili hizi maana watu wanadripu za virola mwilini wakisherehekea sikukuu.
 
Habari za marekani kwenda mwezini ,1969 ni za kweli?
 
Wachangiaji wengi kwny huu uzi wamenichekesha sana, ahsanten kwa juniongezea siku. Hii yote inamaanisha sikukuu zote mbili zilienda vizuri. Mwenyezi Mungu atuongoze vyema, ili tuingie salama mwaka mpya 2016.
 
wanabeba "biscuits+maji" vyakula vingine vinachacha coz hawawezi beba friji la kuhifadhia.
 
wanabeba "biscuits+maji" vyakula vingine vinachacha coz hawawezi beba friji la kuhifadhia.
Mambo gani mnaleta sio lzm tuende wrote yuko mwezini waende wachache kwa faida yetu wote haiwezekani niende nikae huko miezi sita au zaidi kwa kushindia biskuti+maji ,dona+maharagwe samaki Wa Mtela jodari ,vibua,pweza, Kiepe yai nimuachie nani? Kila kama ni uzushi ulivyovitaja tuandae chombo twendeni bila kusahau mtoto nzuri pembeni kwa matumizi ya kiafya huko mwezini
 

Niliwahi kuona ktk kipindi cha discovery channel, kuna jamaa yeye alikua ni sky diver, akafanya na mautundu mengine saivi ana pesa ile mbaya, sasa amewakusanya wanasayansi anawataka watengeneze kifaa kitakachokua kinaenda adi apo mahali wakaexperience weightlesness, sikumfatilia sana ila nlisikia mtangazaj akiuliza nauli yake itakuaje...... dah, jamaa akasema ukiwa na pesa utataka kujua vitu ambavyo huvijui.....

Icho kifaa kutakua kinaenda na kurudi fasta, so usijali mkuu utaenda na toto lako kisha unarudi kula ugali wako wa mtama na sato wako alorostiwa pembeni una mlenda wa bamia glas kubwa ya juice ya nanasi.
 
 
Nilimsiki g.bush anawaagiza wawe wanabeba mabumunda mengi.maana hayaaribiki kwa haraka.
 
ha ha haaa! mswahili bila kumega tonge la dona hajala! chezea dona na maharagwe wewe!!🙂😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…