Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #21
Ok aisee asante sana kwa alertKwa kuwa ndio Kwanza ana miezi sita mwazishie sembe plain, uichuje, iwe laini kabisa. Usitumie Dona, mahindi yana dawa kali za kuhifadhia yasiharibiwe Na wadudu
mbn unacheka mkuu? au hujui huo ungahahahaah aisee !
Ok asante sana MkuuUji c lazima swty cha muhimu mtoto apate balanced meal hizo veges unapika na kipande cha samaki au nyama unablend pamoja unakua uji mzuri tu wenye virutubisho vyote,kunenepa ni wanga unakua mwingi na kumlazimisha mtoto kula chakula kingi zaidi ya mahitaji yake
mbn unacheka mkuu? au hujui huo unga
Miss Natafuta katufungulia kwa Malkia UK, sio Ukonga wala Ukerewelabor gan uloenda wewe !lol
Miss Natafuta katufungulia kwa Malkia UK, sio Ukonga wala Ukerewelabor gan uloenda wewe !lol
Hivi si vibuyu au sina macho wakuu
ulizia unaitwa 'mtamu' upondo upi
ili uwe digested kirahisi. Kumbuka mtoto chini ya miezi 6 hatakiwi kupewa chochote zaidi ya maziwa. hivyo Basi utumbo wake ni laini sana uji usiochujwa huenda ukamchubua utumbonaona unatoa madin !ila hii concept ya kuchuja uji mpk leo siielewag!na sijawah fanya hvyo !
Vipi mkuu?Aiseeee.....[emoji45] [emoji45]
Ahahaaa labour hyo hyo mlioingia nyielabor gan uloenda wewe !lol
Sio vibuyu Ila ni jamii ya vibuyuHivi si vibuyu au sina macho wakuu
Hata Mimi sielewi bora nisimpe kuliko niuchujenaona unatoa madin !ila hii concept ya kuchuja uji mpk leo siielewag!na sijawah fanya hvyo !
MBITIYAZA unajipaka nini dada yangu siku hizi?sijui kWANN nimecheka
Sasa nifanyeje mkuu wakati sijampa chochote ananyonya tu na maji ya kunywa tu basi.Hapo kwenye mtoto kuwa na kilo 10, na hajafikisha hata miezi 6....!!
Kidogo omenishtua mkuu, sababu kiafya sio salama sana kwa mtoto kupata uzito kiasihicho ikiwa yupo chini ya miezi 6
Mara nyingi mtoto akishiba anaonyesha dalili kua makini kuzitazama alafu kwakua mtoto wakouzito ni mkubwa unaweza kumkadiria chakula kidogo akilia unampa matunda kama papai me ndo nlianza nalo,usiogope wewe ni mama your judgement is exactly what your child requires! Mungu amekupa uwezo mkubwa sana wa kumhudumia mtoto wako kutokana na mahitaji yake huitaji formula. Kwa kumwangalia na kumuhudumia utajua tu hapa kashiba hichi ndio hichi hapanaOk asante sana Mkuu
Sasa anatakiwa ale kiwango gani kwa siku?
Zaa wa kwako Mkuu ukimpa itatoshaKape soup ya kenge na uyoga kama kakiume katakua na nguvu za kiume nyingi.