Chakula gani kitamfaa mtoto wa miezi sita?

Chakula gani kitamfaa mtoto wa miezi sita?

Mara nyingi mtoto akishiba anaonyesha dalili kua makini kuzitazama alafu kwakua mtoto wakouzito ni mkubwa unaweza kumkadiria chakula kidogo akilia unampa matunda kama papai me ndo nlianza nalo,usiogope wewe ni mama your judgement is exactly what your child requires! Mungu amekupa uwezo mkubwa sana wa kumhudumia mtoto wako kutokana na mahitaji yake huitaji formula. Kwa kumwangalia na kumuhudumia utajua tu hapa kashiba hichi ndio hichi hapana
Kuna vitoto huwa havikatai hadi vivimbiwe ahahaaa ila ni kweli mtoto akishiba nitajua tu
 
Nenda clinic idara ya afya na lishe ya mtoto utapata ushauri wa kitaalam.
 
Zaa wa kwako Mkuu ukimpa itatosha
Nimekupa ushauri kwa sababu ninao wa tatu na mwingine ndio nipo nae uku makau nimezaa na wifi yako wa kichina tunakapa soup ya kenge na uyoga kapo imara nategemea mwezi wa 4 nije nako tz na mamayake.
 
Kababy kangu kataanza kula next week maana kanafikisha miezi sita
Naombeni diet nzuri sitaki kanenepe sana kama mama yake maana hapa kananyonya tu ila kana 10 kg.
Nikape nini wadau
Acha utani mama.
 
Miss Natafuta butternut squash hizi hapa
28166640_2315752251783675_8668512293717356227_n.jpg
Mung'unya
 
Back
Top Bottom