Chakula kipi kati ya hivi ungependelea kupita nacho siku ya Eid leo?

Chakula kipi kati ya hivi ungependelea kupita nacho siku ya Eid leo?

Siku ya leo maandalizi ya vyakula yanakuwa mengi na kila mtu na aina ya chakula anachovutiwa nacho
Ungependelea chakula gani kati ya hvi..?
-Biriani nyama
-Biriani kuku
-Birian samaki
-Wali njegere
-Wali nyama
-Wali samaki
-Wali kuku
-Wali maharage
-Pilau ya kuku
-Pilau ya nyama.
embu fanya na mpango ka ugali dona na mbogamboga basi aise 🐒
 
Leo hihi mlo wangu🤒
FB_IMG_1709198300161.jpg
 
Siku ya leo maandalizi ya vyakula yanakuwa mengi na kila mtu na aina ya chakula anachovutiwa nacho
Ungependelea chakula gani kati ya hvi..?
-Biriani nyama
-Biriani kuku
-Birian samaki
-Wali njegere
-Wali nyama
-Wali samaki
-Wali kuku
-Wali maharage
-Pilau ya kuku
-Pilau ya nyama.

Wewe mtu wa Pwani? Mbona vyakula vyote ni vya mchele?
 
Back
Top Bottom