Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Dah, thanks mkuu umenifumbua kitu, kuna haja sasa ya kusoma ufugaji wa kitaalamu wa hawa waduduMkuu. Makombo ni ziada tu.
Nadhani pumba na mashudu mixer ndo safi kwao.
Mwone mzoefu akupe hata jinsi ya kuwapimia kadri wanavyoongezeka kukua
Dah thanks mkuuUmeingia kwenye ufugaji kabla ya kupata elimu nzuri ya ufugaji, ulipaswa kufahamu nguruwe anahitaji lishe bora kabla haujaanza ufugaji. Lishe ya makombo itakupa matokeo duni. Tafuta machapisho na vitabu vinavyoelezea lishe bora ya nguruwe, watembelee wafugaji wazoefu pia waone wataalam wa mifugo.
Nashukuru kwa ushauriUmeingia kwenye ufugaji kabla ya kupata elimu nzuri ya ufugaji, ulipaswa kufahamu nguruwe anahitaji lishe bora kabla haujaanza ufugaji. Lishe ya makombo itakupa matokeo duni. Tafuta machapisho na vitabu vinavyoelezea lishe bora ya nguruwe, watembelee wafugaji wazoefu pia waone wataalam wa mifugo.
Dah, sisi wafugaji uchwara ndio tutakoma safari hii.Unachanganya pumba ya mpunga,ya mahindi,mashudu ya alizeti,soya/uduvi/dagaa,pigboost,mifupa,chokaa na chumvi.Nikituli nitakueleza namna yakuchanganya.