Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Chakula kilikuwepo, kipo na kitakuwepo tu. Kwa iyo tule kwa staha tu. Iwe jioni, usiku ama alfajiri.
Siyo kuparamia na kufakamia matokeo yake kuvimbiwa na kukinai halafu kukimwaga. Wakati kuna wasiojaliwa kukipata wanalala njaa.
Chakula hakitaisha kitakuwepo tu hakitaisha.
Siyo kuparamia na kufakamia matokeo yake kuvimbiwa na kukinai halafu kukimwaga. Wakati kuna wasiojaliwa kukipata wanalala njaa.
Chakula hakitaisha kitakuwepo tu hakitaisha.