Chakula kipo tu. Tuleni kwa staha

Chakula kipo tu. Tuleni kwa staha

Machame Juu

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
1,514
Reaction score
3,363
Chakula kilikuwepo, kipo na kitakuwepo tu. Kwa iyo tule kwa staha tu. Iwe jioni, usiku ama alfajiri.

Siyo kuparamia na kufakamia matokeo yake kuvimbiwa na kukinai halafu kukimwaga. Wakati kuna wasiojaliwa kukipata wanalala njaa.

Chakula hakitaisha kitakuwepo tu hakitaisha.
 
Back
Top Bottom