Chakula mixer pombe kali

Basi walituzidishia sisi
 
Hahahahaja eti job description niliulizwagwa hili swali kwenye interview wht is job descrption,job evaluation,job analysis and job design daaaah kazi hizi
Yesuu. JD ningejibu ila hayo mengine ninhescore 0%
 
Asante bby. Kiukweli that was my first time kula vile. Natamani kujipikia sometimes ila naogopa
 
Shots nne za vodka huwezi kulewa bwana. Mi mwenyewe nina siku na siku. Kama jana nimekunywa Heineken 6 tu nikawaka. Leo nimekunywa hata sijui ngapi ila niko kitandani mzimaaaaa
 
Asante bby. Kiukweli that was my first time kula vile. Natamani kujipikia sometimes ila naogopa

My dear, subiri nije tupike wote usijejitengenezea sumu bure. Nitakutengenezea pork ribs ama beef burger.


Shots nne za vodka huwezi kulewa bwana. Mi mwenyewe nina siku na siku. Kama jana nimekunywa Heineken 6 tu nikawaka. Leo nimekunywa hata sijui ngapi ila niko kitandani mzimaaaaa
\

Duh wewe si mwenzangu. Mimi si mnywaji kabisa. Ila kuna siku nilitaka kujua mtu anajisikiaje akilewa. So kwangu mimi shots nne zilikuwa nyingi kwa kuwa sikuwa nimewahi kutumia kilevi. Baada ya siku ile ndipo nilipogundua kuwa kwa viwango vya kawaida mimi silewi kabisa (nilijaribu hadi kwenye bangi). Ila ndiyo kama nilivyosema, huenda sikufikia tu kiwango changu cha kulewa.

Ila nashukuru sana sinywi pombe...wacha nibaki na maji na juice tu!
 
Shots nne za vodka huwezi kulewa bwana. Mi mwenyewe nina siku na siku. Kama jana nimekunywa Heineken 6 tu nikawaka. Leo nimekunywa hata sijui ngapi ila niko kitandani mzimaaaaa
Ukinywa ukiwa umeshiba (sio ugali kwa dagaa) huwezi kulewa kirahisi rahisi...

Gonga wali kwa samaki au wali nyama baada ya lisaa limoja nenda kapige vyombo kisha urudi hapa utupe mrejesho, maana binafsi huwa silewagi haraka
 
Dah..hujaelewa nini? ...mbona ni kiswahili kitupu...
Kwa ufupi kabisa... Bby wako alikuwa na marafiki kutoka marekani...wakamchomea nyama...wakatia JD...akalewa...tumbo likamkata...na Leo rafiki Yake..gf..kapika nyama...full stop [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kiongozi, kuna vitu vingine huwa si vya kujaribu kabisa!.
Tupe mrejesho ilikuwaje?
Hata bangi sikulewa (high).

Bangi nilitaka kujua mtu akiwa 'high' anajisikiaje.

Nikavuta mara ya kwanza hola...

Ya pili wakaniambia ile bangi ya Dar haizingui..nikapewa ya Mbeya.

Ya tatu nikaambiwa hiki ndo chenyewe cha Arusha...hola

Ya nne nikavutia chumbani moshi wote ukaishia kwangu...hola.

Nikaona ni uzushi tu...sijawahi kuvuta tena.

Ila kwa pombe, kwa kweli nashukuru sana hii 'allergy' niliyonayo imenisaidia sana maishani. Pombe na kahawa kwangu lazima niumwe tumbo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…