Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Basi enzi hizo tuko chuo kuna rafiki zangu walikuja kutoka Marekani wakanialika lunch na marafiki zangu apartment kwao.
Tukaenda na rafiki zangu watatu jumla tukawa wanne.
Kufika wakatuchomea nyama ya mbuzi wakailowesha na JD ila bila sisi kujua. Sasa muda wa kula nikaanza kuona kama nalewa flani na tumbo likaanza kukata. Nikawa naogopa kuuliza rafiki zangu.
Kumbe nao walikua wanapitia hali kama yangu. Basi nikamwambia mwenyeji mbona kama najihisi kulewa kuna nini. Akaniambia nyama aliweka JD. Nikawaambia wenzangu nao wakafungka wanajisikia vibaya flani hivi.
Hiyo picha ni leo mchana tena kuna rafiki zangu walipikiwa hivyo na mmoja wa gf zao. Nikakumbuka nilivyolewa bila kujua.
Tukaenda na rafiki zangu watatu jumla tukawa wanne.
Kufika wakatuchomea nyama ya mbuzi wakailowesha na JD ila bila sisi kujua. Sasa muda wa kula nikaanza kuona kama nalewa flani na tumbo likaanza kukata. Nikawa naogopa kuuliza rafiki zangu.
Kumbe nao walikua wanapitia hali kama yangu. Basi nikamwambia mwenyeji mbona kama najihisi kulewa kuna nini. Akaniambia nyama aliweka JD. Nikawaambia wenzangu nao wakafungka wanajisikia vibaya flani hivi.
Hiyo picha ni leo mchana tena kuna rafiki zangu walipikiwa hivyo na mmoja wa gf zao. Nikakumbuka nilivyolewa bila kujua.