Chakula mixer pombe kali

Chakula mixer pombe kali

My dear, subiri nije tupike wote usijejitengenezea sumu bure. Nitakutengenezea pork ribs ama beef burger.


\

Duh wewe si mwenzangu. Mimi si mnywaji kabisa. Ila kuna siku nilitaka kujua mtu anajisikiaje akilewa. So kwangu mimi shots nne zilikuwa nyingi kwa kuwa sikuwa nimewahi kutumia kilevi. Baada ya siku ile ndipo nilipogundua kuwa kwa viwango vya kawaida mimi silewi kabisa (nilijaribu hadi kwenye bangi). Ila ndiyo kama nilivyosema, huenda sikufikia tu kiwango changu cha kulewa.

Ila nashukuru sana sinywi pombe...wacha nibaki na maji na juice tu!
Nakusubiria uje unifundishe kupika. Pork ribs itafaa zaidi. Usichelewe sasa mpaka hamu ya kuonja ikaisha
 
Ukinywa ukiwa umeshiba (sio ugali kwa dagaa) huwezi kulewa kirahisi rahisi...

Gonga wali kwa samaki au wali nyama baada ya lisaa limoja nenda kapige vyombo kisha urudi hapa utupe mrejesho, maana binafsi huwa silewagi haraka
Inakuaje kuaje. Maana wali samaki ndo chakula changu.
 
Dah..hujaelewa nini? ...mbona ni kiswahili kitupu...
Kwa ufupi kabisa... Bby wako alikuwa na marafiki kutoka marekani...wakamchomea nyama...wakatia JD...akalewa...tumbo likamkata...na Leo rafiki Yake..gf..kapika nyama...full stop [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yani wewe mgombanishi
 
Back
Top Bottom