CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe mwache ajilengeshe kama hawajamwaga lile domo lake lililokauka kwa bangiHapo sasa atakuwa akipambana na vigogo wa serikali,wabunge,mawaziri ambao ni wadau wao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwache ajilengeshe kama hawajamwaga lile domo lake lililokauka kwa bangiHapo sasa atakuwa akipambana na vigogo wa serikali,wabunge,mawaziri ambao ni wadau wao!
Ilikuwa Kwa yule Mganga wa Jangwani 😄Alipigwa kiharusi domo lake lile likalala yombo kabisa hadi yeye mwenyewe akaenda kuwaangukia wakamtibu
Sasa anaoteshwa ngiri maji kwa kuwa ni aboubakar anaweza vaa kanzu na msuli!Hivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika?
Yani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia waganga wa kienyeji kwa sheria zipi za nchi wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?!
Katiba ipi inaruhusu mganga kuuwa albinoHivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika?
Yani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia waganga wa kienyeji kwa sheria zipi za nchi wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?!
Hii Nchi ilishaacha kuendeshwa kwa Sheria inaendeshwa kwa matamko.wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?!
Mganga anakaa Manzese?Kuelekea 2025 sio muda mzuri wa kupambana na waganga kwakua huduma zao ndio zinaelekea high season......
Huyu mtu kichwa kibovu hasa anafanya vitu kwa matukio hata hajui anataka nini.
Hivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika?
Yaani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia waganga wa kienyeji kwa sheria zipi za nchi wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?!
Wapiga ramli hawaruhusiwi kokote.
Hivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika?
Yaani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia waganga wa kienyeji kwa sheria zipi za nchi wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?!
Huyu kachoka kula matunda ya Uhuru!!
Hivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika?
Yaani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia waganga wa kienyeji kwa sheria zipi za nchi wakati waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kwa katiba ya nchi hii?!
Alipinda mdomo!!🤣🤣🤣. Taaluma za watu ziheshimiwe!!!Akapate uzoefu Kwa mzee Makamba alishawahi kufanya zoezi hilo 🐼
Taaluma za watu ziheshimiwe!🤣🤣Alipigwa kiharusi domo lake lile likalala yombo kabisa hadi yeye mwenyewe akaenda kuwaangukia wakamtibu