Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mkuu wa mkoa, Albert Chalamila amefika Kariakoo kujaribu kufungua maduka lakini katika harakati hizo ameweka vitisho vilivyopitiliza..
Chalamila: Aliyekubali kufungua afungue na yule ambae atamletea mkwara mtu yeyote yule aliyekubali kufungua naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonesha shoo nzima. Wewe unakuja unamletea mkwara, mimi nitakuchimba mkwara na hautaamka tena, na hili naomba niwaeleze ndugu zangu wa Kariakoo, utoto ukizidi hatuwezi kufikia hapo"
Kingine Chalamila amesema andapo akienda kukaa Kariakoo na kukagua kodi na risiti hamna mfanyabiashara atabaki kuendelea kufanya biashara Kariakoo, kama Serikali inajua kodi zilizowekwa hazina uhalisia na hazilipiki na watu hawalipi kwanini wanaziweka? Mwisho ni kosa la jinai kutishia maisha ya mtu.
Pia, soma=> Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”
Chalamila: Aliyekubali kufungua afungue na yule ambae atamletea mkwara mtu yeyote yule aliyekubali kufungua naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonesha shoo nzima. Wewe unakuja unamletea mkwara, mimi nitakuchimba mkwara na hautaamka tena, na hili naomba niwaeleze ndugu zangu wa Kariakoo, utoto ukizidi hatuwezi kufikia hapo"
Kingine Chalamila amesema andapo akienda kukaa Kariakoo na kukagua kodi na risiti hamna mfanyabiashara atabaki kuendelea kufanya biashara Kariakoo, kama Serikali inajua kodi zilizowekwa hazina uhalisia na hazilipiki na watu hawalipi kwanini wanaziweka? Mwisho ni kosa la jinai kutishia maisha ya mtu.
Pia, soma=> Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”