magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Wewe unaweza kumshauri Rais achapishe pesa nyingi alipe madeni.Serikali iwapuuze wafanya biashara.
Iwaache wafunge hata mwezi. Mwishowe watafungua wenyewe.
Bush Accountant.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaweza kumshauri Rais achapishe pesa nyingi alipe madeni.Serikali iwapuuze wafanya biashara.
Iwaache wafunge hata mwezi. Mwishowe watafungua wenyewe.
Huna akili wewe. Hahaahaha dahMama aandike twita na kutoa amri.... Wenye leseni ya biashara mfungue maduka na TRA nendeni mkaangalie ambaye hajafungua mfute leseni yake ili afanye kazi nyingine.
Magu alikuwa anasema hajarubiwi.
Kuna watu ukisoma comments zao unahisi labda ni mwehu yupo mirembe kaiba simu ya nurse.Wewe unaweza kumshauri Rais achapishe pesa nyingi alipe madeni.
Bush Accountant.
Kama mnaweza funga hicho kiduka miezi sita tuoneAcha utoto, TRA watafungia vipi leseni ambayo hawaitoi wao? Vijana wa Lumumba mna upumbavu mwingi sana!
Wacha weeeChalamila kachanganyikiwa
Wewe jamaa ya Magu si juzi kati tu hapo? Kwamba sisi wengine tulikua hatuoni wanavyogoma hapo Kariakoo kipindi chake?Mama aandike twita na kutoa amri.... Wenye leseni ya biashara mfungue maduka na TRA nendeni mkaangalie ambaye hajafungua mfute leseni yake ili afanye kazi nyingine.
Magu alikuwa anasema hajarubiwi.
Wewe jamaa ya Magu si juzi kati tu hapo? Kwamba sisi wengine tulikua hatuoni wanavyogoma hapo Kariakoo kipindi chake?Mama aandike twita na kutoa amri.... Wenye leseni ya biashara mfungue maduka na TRA nendeni mkaangalie ambaye hajafungua mfute leseni yake ili afanye kazi nyingine.
Magu alikuwa anasema hajarubiwi.
Kama mnaweza funga hicho kiduka miezi sita tuoneAcha utoto, TRA watafungia vipi leseni ambayo hawaitoi wao? Vijana wa Lumumba mna upumbavu mwingi sana!
Kwa huo mkwara watafungua tu maana wafanyabiashara wetu pamoja na kwamba hoja zao ni za msingi ila hapo aliposema akiamua kukaa K/koo na kukagua Kodi lazima mmoja mmoja ataanza kurudi kutokana na mtindo wao wa kutotoa receipt za EFD na kama wakitoa basi inakuwa pungufu ya bei halisiWaliofungua ni wasaliti wakubwa. Ndio maana Jomo Kenyata alisema Watanzania ni maiti haziwezi kuamka tena kudai haki yao
Amepanik 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mimi nitakuchimba mkwara na hautaamka tena, na hili naomba niwaeleze ndugu zangu wa Kariakoo, utoto ukizidi hatuwezi kufikia hapo"
Daah aiseeMkuu wa mkoa, Albert Chalamila amefika Kariakoo kujaribu kufungua maduka lakini katika harakati hizo ameweka vitisho vilivyopitiliza..
Chalamila: Aliyekubali kufungua afungue na yule ambae atamletea mkwara mtu yeyote yule aliyekubali kufungua naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonesha shoo nzima. Wewe unakuja unamletea mkwara, mimi nitakuchimba mkwara na hautaamka tena, na hili naomba niwaeleze ndugu zangu wa Kariakoo, utoto ukizidi hatuwezi kufikia hapo"
Kingine Chalamila amesema andapo akienda kukaa Kariakoo na kukagua kodi na risiti hamna mfanyabiashara atabaki kuendelea kufanya biashara Kariakoo, kama Serikali inajua kodi zilizowekwa hazina uhalisia na hazilipiki na watu hawalipi kwanini wanaziweka? Mwisho ni kosa la jinai kutishia maisha ya mtu.
Pia, soma=> Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”
Je, umeshawahi kufanya biashara hata ya kuuza Vitumbua?Serikali inawachekea wafanyabuashara badala ya kuwataka kufuata Sheria.
Huwa nauza nafaka mkuuJe, umeshawahi kufanya biashara hata ya kuuza Vitumbua?
Tuna katiba ya hovyo snPole sana. Hujui.
Yaani uwazidi Kenya wewe?. Kwa kipi ulichowazidi Kenya?.
Kenya wana katiba bora sanain Africa. Sio kama hapa kwetu kiongozi anaweza kuongea lolote kwamba atakaefanya hiki nitampoteza halafu bado yupo madarakani. Kiongozi hapa kwetu anaweza kuongea lolote baya dhidi ya mwananchi aliemuweka madarakani,na bado akaendelea na wadhifa wake. Kenya hiyo haipo.
Wakenya wanaweza kuandamana kwa Uhuru tu ksbb katiba inawalinda,ndio maana polisi wa Kenya hawapigi marungu au risasi ya kuua wandamanaji ksbb wanaheshimu na kufuata katiba. Hebu jaribu kuandama hapa kwetu.
Kenya wametuzidi hata uelewa tu. Hata maendeleo wametuzidi. Democracy watuzidi. Elimu wametuzidi. Uchumi wametuzidi mbali sana. Karibia inaweza kuwa ya 6,7 hapo Africa baada ya south africa,Nigeria na Ghana,Eagpt. Kwa wewe uko kama kwenye chungu hivi huwezi kujua
Chalamila hajawahi kuwa na akili timamuAnatishia kuua wafanyabishara mpuuzi sana na kichwa chake kile kama kitunguu maji